R raslimali JF-Expert Member Joined Nov 4, 2014 Posts 2,224 Reaction score 2,095 Nov 4, 2023 #1 Nimeimiss sana hii pombe ya kabila la Warangi inaitwa Udo. Inatengenezwa kwa mtama. Wapi inapatikana mikoa ya jirani kama Arusha na Manyara??
Nimeimiss sana hii pombe ya kabila la Warangi inaitwa Udo. Inatengenezwa kwa mtama. Wapi inapatikana mikoa ya jirani kama Arusha na Manyara??
Tate Mkuu JF-Expert Member Joined Jan 24, 2019 Posts 40,744 Reaction score 118,696 Nov 4, 2023 #2 Ukienda Kondoa kwa hao Warangi, utaipata.
C Cohenlukinga JF-Expert Member Joined Nov 13, 2022 Posts 290 Reaction score 379 Nov 4, 2023 #3 raslimali said: Nimeimiss sana hii pombe ya kabila la Warangi inaitwa Udo. Inatengenezwa kwa mtama. Wapi inapatikana mikoa ya jirani kama Arusha na Manyara?? Click to expand... Manguree hiyo
raslimali said: Nimeimiss sana hii pombe ya kabila la Warangi inaitwa Udo. Inatengenezwa kwa mtama. Wapi inapatikana mikoa ya jirani kama Arusha na Manyara?? Click to expand... Manguree hiyo