Pombe sio chai 🤔

Pombe sio chai 🤔

Majuzi nimepata mchuchu , nimelipa chumba nikawambia atangulie na pesa yote atakayo tumia nimelipa 😪

Nikasema nitqpitia club hapo alipo,nilijibusti na pombe zangu ndio nimeshuka hapa , kapiga simu , namuulizia atume picha yake ,naona ananisunya😄😆 acha nilewe tu bwashee 😁
Mbona nimesoma na sijaelewa au na mimi nimelewa 😂
 
Majuzi nimepata mchuchu , nimelipa chumba nikamwambia atangulie na pesa yote atakayo tumia nimelipa 😪

Nikasema nipitie club, atulie hapo alipo,nijibusti na pombe zangu ndio nimeshtuka hapa , kapiga simu , nikamwambia atume picha yake ,simkumbuki tena ,naona ananisunya😄😆 acha nilewe tu bwashee 😁
Oa Acha uzinzi kijana
 
Back
Top Bottom