leo dada
JF-Expert Member
- Oct 26, 2023
- 3,074
- 15,580
22652590 hiyo hapo fanya jamboWeka lipa No Acha janjajanja
22652590 hiyo hapo fanya jamboWeka lipa No Acha janjajanja
Kua Pombe sio Chai.Kivipi bwashee 😅
huwa siingii pm una lolote tumalizane hapa.Sema kule kwa Pm hukujibu
Mbona nimesoma na sijaelewa au na mimi nimelewa 😂Majuzi nimepata mchuchu , nimelipa chumba nikawambia atangulie na pesa yote atakayo tumia nimelipa 😪
Nikasema nitqpitia club hapo alipo,nilijibusti na pombe zangu ndio nimeshuka hapa , kapiga simu , namuulizia atume picha yake ,naona ananisunya😄😆 acha nilewe tu bwashee 😁
Nimelewa ndiyo ila siyo pombeUmelewa kama mimi😅
Mtandao gani huu, Sema nini tumsubiri Benfica kuna Ligi ya Portugal anaweza shinda ikawa shangwe humu😂22652590 hiyo hapo fanya jambo
Dada wa leo kumbe na wewe korofi😅pm bila hela ni mwandiko wa bata
Tigo,, naombea mkeka utiki msg iingieMtandao gani huu, Sema nini tumsubiri Benfica kuna Ligi ya Portugal anaweza shinda ikawa shangwe humu😂
Oa Acha uzinzi kijanaMajuzi nimepata mchuchu , nimelipa chumba nikamwambia atangulie na pesa yote atakayo tumia nimelipa 😪
Nikasema nipitie club, atulie hapo alipo,nijibusti na pombe zangu ndio nimeshtuka hapa , kapiga simu , nikamwambia atume picha yake ,simkumbuki tena ,naona ananisunya😄😆 acha nilewe tu bwashee 😁