Pombe,sigara na ukahaba ni marufuku Zanzibar!!!!

Hongera Wa Zanzibari kwa hatua muhimu kwa ustawi na kulinda maadili sasa umefika wakati na sisi huku bara kuiga hatua hiyo kwani itapunguza sana ukimwi na kulinda heshima na maadili yetu!!!

chanzo:
Pombe, Sigara na Ukahaba ni Marufuku Zanzibar | Mzalendo.net

Mkuu una hakika pombe ndio chanzo cha UKIMWI?
Any data to support your conclusion?

Kwa tarifa yako, Serikali ya kikwete wala hata ingekuwa na Kamanda wenu PONDA haina ubavu wa kupiga marufuku pombe na sigara.
Kama wewe ni mtu makini, fanya uchunguzi uone pombe na sigara zinaleta kodi kiasi gani?
Kuna watu wangapi wameajiriwa kwenye hizo sectors?

Then, bring this thread again....
 
Hongera Wa Zanzibari kwa hatua muhimu kwa ustawi na kulinda maadili sasa umefika wakati na sisi huku bara kuiga hatua hiyo kwani itapunguza sana ukimwi na kulinda heshima na maadili yetu!!!

chanzo:
Pombe, Sigara na Ukahaba ni Marufuku Zanzibar | Mzalendo.net

hichi kimtandao ndio equivalent ya JF kwa wajinga wa zanzibar.Mbona sasa hamjakumbusha madawa ya kulevya?Uzinzi wa kuibiana wake?ushoga na ngoma zao zichezwazo kule visiwani?

Kwa taarifa yenu Iran ,afghanistai, pakistani ,lebanon, syria, Turkey ,azerbaijan ,somalia na kwingineko ktk dunia ya kiislam Tumbaku hutumiwa sana kuliko nchi nyingine duniani.Wao hutumia tumbaku kama sigara, cigar, ugoro au hata gozi la kusokota kwa makaratasi wasiojua hata yana chemical gani ili mradi linafaa sokotea.Wanawake wa kiislam ni wengi sana wanavuta sigara kuliko hata makafiri wa nchi nyingi sana zenye michanganyiko ya waislam na wengine.

mbona hawajasemea ndoa za muttah,zinazoruhusu waislam kupeta na mademu kadhaa kwa makta hata wa nusu saa.Huo si umalaya biashara ya umalaya.Muslims na ngono ni ulimi na mdomo.Watabakiw akisingizia kuwa jamaa wanaitumia vibaya hiyo sheria ila wmisho wa siku watu watachukua mayalaya kwa kufunga ndoa ya fasta na kwenda kuchapana kwa malipo madogo halafu wanaachana kwa kitalaka cha fasta.Kweli hii dini ya allaha ni chocho la shetani.
 
mbona nyie wazanzibari mnaongoza kwa kwa ule mchezo wa sodama na gomora au huo kwenu ni halali?
 
Wanafiki wakubwa hao wakaanze na AMANI A KARUME halafu wakimaliza waje wamchukue yule mtoto wake wakili uku bara hatutaki izo sigara kubwa uku.
 
Wewe parata wa chooni acha kutukana dini za watu
hichi kimtandao ndio equivalent ya JF kwa wajinga wa zanzibar.Mbona sasa hamjakumbusha madawa ya kulevya?Uzinzi wa kuibiana wake?ushoga na ngoma zao zichezwazo kule visiwani?

Kwa taarifa yenu Iran ,afghanistai, pakistani ,lebanon, syria, Turkey ,azerbaijan ,somalia na kwingineko ktk dunia ya kiislam Tumbaku hutumiwa sana kuliko nchi nyingine duniani.Wao hutumia tumbaku kama sigara, cigar, ugoro au hata gozi la kusokota kwa makaratasi wasiojua hata yana chemical gani ili mradi linafaa sokotea.Wanawake wa kiislam ni wengi sana wanavuta sigara kuliko hata makafiri wa nchi nyingi sana zenye michanganyiko ya waislam na wengine.

mbona hawajasemea ndoa za muttah,zinazoruhusu waislam kupeta na mademu kadhaa kwa makta hata wa nusu saa.Huo si umalaya biashara ya umalaya.Muslims na ngono ni ulimi na mdomo.Watabakiw akisingizia kuwa jamaa wanaitumia vibaya hiyo sheria ila wmisho wa siku watu watachukua mayalaya kwa kufunga ndoa ya fasta na kwenda kuchapana kwa malipo madogo halafu wanaachana kwa kitalaka cha fasta.Kweli hii dini ya allaha ni chocho la shetani.
 
miaka fulani ya nyuma niliwai soma na mtoto mmoja wa mzee Basha, aliwahi kuwa muwakilishi ndani ya baraza la wawakilishi na pia nimeishi kidogo na familia ya mzee basha na kina muhamed na kaka zake wa port pale, kwahiyo naelewa zanzibari vizuri
uchafu ambao sijauona zanzibar mtaani ni kula kitimoto hadharani tu. lakini pombe sigara malaya na mashoga siwezi kuviesabu kwani vimezidi na kupindukia zanzibari
.na ndio maana nauislamu wangu wote hijabu huwa linanitia kichefuchefu sababu wanaharamu wale hawavai zaidi ya bikini na wako wasio vaa hata iyo bikini wakuta hijabu likiguswa na upepo kidogo kwa nyuma waona tak o kama lilivyo, nalikiguswa kwa mbele basi sehemu ya uke inajichora kamailivyo na wakifika fukweni mbali na mji vichaka minazi na maji vyote hivi vingelikuwa vinaongea vingesema ni jinsi gani wazanzibari wanachafuana humo bila aibu. nimehudhuria sana ngoma za ufukweni wenyewe wanakuita shamba wanatoka nje kidogo ya mji. kwa hiyo mtu yeyote asije isifia zanzibari UGINGA
by muislam safi
 
Wanafiki wakubwa hao wakaanze na AMANI A KARUME halafu wakimaliza waje wamchukue yule mtoto wake wakili uku bara hatutaki izo sigara kubwa uku.
kweli nyinyi wadanganyika ni kichwa kitupu ndio mana mnashindwa kudai uwepo ya nchi yenu hivi sheria imepitishwa z'bar nyinyi inakuumeni nini si fanyeni yenu kama hamna nendeni kajengeni makanisa yalio bomolewa huko mbagala
 
Kwa ukahaba inawezekana ila sigara na pombe ni ngumu sana. Nmekaa sana z'bar pombe n sigara inauzwa sana.. Nilipata shida sana siku za mwanzo lkn baadae nkajua njia za kupata mzigo tena bila ya zengwe. Kwa kuwa baa raia wanazingua sana bia zinauzwa sana ktk nyumba za watu. Unazama chumbani unakula mambo then unachomoka zako. Kama wakitaka wazuie waweke mtandao mkubwa sana bandarini malindi n pembezoni otherwise watakuwa wanacheza 2! Na kuna supplier mkubwa sana wa pombe pale darajani nyuma ya soko karibu na masomo bookshop. Wamfutie leseni kwanza yule.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Wabara sasa wataanza kurudi makwao dooooo!!!! nchi haifai tena na makanisa tunafunga
 
miaka fulani ya nyuma niliwai soma na mtoto mmoja wa mzee Basha, aliwahi kuwa muwakilishi ndani ya baraza la wawakilishi na pia nimeishi kidogo na familia ya mzee basha na kina muhamed na kaka zake wa port pale, kwahiyo naelewa zanzibari vizuri
uchafu ambao sijauona zanzibar mtaani ni kula kitimoto hadharani tu. lakini pombe sigara malaya na mashoga siwezi kuviesabu kwani vimezidi na kupindukia zanzibari
.na ndio maana nauislamu wangu wote hijabu huwa linanitia kichefuchefu sababu wanaharamu wale hawavai zaidi ya bikini na wako wasio vaa hata iyo bikini wakuta hijabu likiguswa na upepo kidogo kwa nyuma waona tak o kama lilivyo, nalikiguswa kwa mbele basi sehemu ya uke inajichora kamailivyo na wakifika fukweni mbali na mji vichaka minazi na maji vyote hivi vingelikuwa vinaongea vingesema ni jinsi gani wazanzibari wanachafuana humo bila aibu. nimehudhuria sana ngoma za ufukweni wenyewe wanakuita shamba wanatoka nje kidogo ya mji. kwa hiyo mtu yeyote asije isifia zanzibari UGINGA
by muislam safi

...........naona Wagalatia mmetoneswa ! maana kama kidonda kimedonolewa na kuku !
mwaya anawadanganya.........endeleeni kulewa na msisahau....DUME !!!!!!!
 
Back
Top Bottom