Hongera Wa Zanzibari kwa hatua muhimu kwa ustawi na kulinda maadili sasa umefika wakati na sisi huku bara kuiga hatua hiyo kwani itapunguza sana ukimwi na kulinda heshima na maadili yetu!!!
chanzo:
Pombe, Sigara na Ukahaba ni Marufuku Zanzibar | Mzalendo.net
chanzo:
Pombe, Sigara na Ukahaba ni Marufuku Zanzibar | Mzalendo.net