Mwambie Tu kama ulivyoweka Uzi hapa mtaani.Ilikuwa mida ya asubuhi, ggrrrh mara simu yangu ikaita. kuangalia mdogo wangu
Dogo: Kaka kwema, me: poa, dogo:kuna tv yangu naiuza niletee mteja, iko sehem fulani ukipata mteja mpeleke mimi nimetoka,
kweli wanangu nikapambana nikapata mteja mida fulan ya jioni, nikampeleka akaiona akanipa kibunda
Nikamwambia dogo nimeshauza je hela yako nikutumie? akaniambia utanipa kesho ila chukua k30 ya posho, nikasema unyama, nikapitia kibar kimoja hivi nikate hata konyagi ndogo,
dah likawa kosa la kiufundi, nilivyopata stimu tu nikawa najiamini kwenye hela ya watu, wanywaji wenzangu wamenielewa
pale pale k100 ikakata, haitoshi nikachukua mtoto mzuri, maana nyege zilipanda nikatoka kwenda kumgonga
ile naamka pombe baada ya kutoka kichwani kwenye laki 3 ya dogo imebaki laki moja na elfu 20
Hapa bado nipo na mtoto mzuri akili yangu imelejea nawaza sijui nampangaje, na sina hela ya kujastia mpaka mwisho wa mwezi mshahara ukitoka
hebu nipeni mbinu
pombe na nyege vimeniponza
Kazi baba kazi, mchagua kazi si mzalendo. Mi mlinzi so mida yote hiyo lazima niwe macho.HIvi huwa unalala kweli saa kumi yote hiyo ulikuwa macho?
Good morning too.mlevi ni mtu gani?
Good morning
Kawadanganye wengine ila sio mimi.Kazi baba kazi, mchagua kazi si mzalendo. Mi mlinzi so mida yote hiyo lazima niwe macho.
Duh Uliza humu baadhi tunafahamiana.Kawadanganye wengine ila sio mimi.
I can smell wewe ni mtu mzito sana kama sio doctor, sijui mwanasheria, something to do with social issues
Stress za mwalimu haziwezi ku survive humu.Duh Uliza humu baadhi tunafahamiana.
Kama ningekuwa na brain ya kusoma udaktari au kukariri sheria, ningeringa sana usingeniongelesha.
How about mwalimu nakuwa nasshihisha mitihani ya watoto? nakesha.
Dah ! Sawa umenidaka…. Tubaki hapo kwenye ulinzi.Stress za mwalimu haziwezi ku survive humu.
Walimu wanavihoja vyao special. Na unasahihisha mitihani kila siku? 😂
I told you uwe unakuja privately am a mind reader.Dah ! Sawa umenidaka…. Tubaki hapo kwenye ulinzi.
Nimekuja haujanijibu… Vijana mnaringa sana.I told you uwe unakuja privately am a mind reader.
Are you playing with me? 😂 Pm yangu iko wazi 24/7..Nimekuja haujanijibu… Vijana mnaringa sana.
Hizi hizi safari lager au pombe gani mkuuKuna siku niliuza kiwanja zamani nikapita Bar nikapukuta yote.
Narudi home kesho mchana maza ananichora tu,kiwanja kimeenda.
Umepotea sana.Nipo mkuu, kwema huko
Wakaenda nae wapiMwambie dogo shetani alikupitia
Za kawaida tu nilikua na limalaya fulani la kihindi na mzuka washkaji kibao kukakucha pale.Hizi hizi safari lager au pombe gani mkuu
Dah unikumbusha krismasi fulani , tulikata milioni kwa usiku mmoja , na bado asubuhi nikaenda kutoa 200k ya supu nayo tukailamba yote😅Za kawaida tu nilikua na limalaya fulani la kihindi na mzuka washkaji kibao kukakucha pale.
Dem piga sachi sana,hakuwa hata na shilingi maskini.
Na nishamkopa sana tu kabla.
DuuhIlikuwa mida ya asubuhi, ggrrrh mara simu yangu ikaita. kuangalia mdogo wangu
Dogo: Kaka kwema, me: poa, dogo:kuna tv yangu naiuza niletee mteja, iko sehem fulani ukipata mteja mpeleke mimi nimetoka,
kweli wanangu nikapambana nikapata mteja mida fulan ya jioni, nikampeleka akaiona akanipa kibunda
Nikamwambia dogo nimeshauza je hela yako nikutumie? akaniambia utanipa kesho ila chukua k30 ya posho, nikasema unyama, nikapitia kibar kimoja hivi nikate hata konyagi ndogo,
dah likawa kosa la kiufundi, nilivyopata stimu tu nikawa najiamini kwenye hela ya watu, wanywaji wenzangu wamenielewa
pale pale k100 ikakata, haitoshi nikachukua mtoto mzuri, maana nyege zilipanda nikatoka kwenda kumgonga
ile naamka pombe baada ya kutoka kichwani kwenye laki 3 ya dogo imebaki laki moja na elfu 20
Hapa bado nipo na mtoto mzuri akili yangu imelejea nawaza sijui nampangaje, na sina hela ya kujastia mpaka mwisho wa mwezi mshahara ukitoka
hebu nipeni mbinu
pombe na nyege vimeniponza