pombe na nyege vimeniponza

Mwambie Tu kama ulivyoweka Uzi hapa mtaani.
 
Kawadanganye wengine ila sio mimi.
I can smell wewe ni mtu mzito sana kama sio doctor, sijui mwanasheria, something to do with social issues
Duh Uliza humu baadhi tunafahamiana.

Kama ningekuwa na brain ya kusoma udaktari au kukariri sheria, ningeringa sana usingeniongelesha.

How about mwalimu nakuwa nasshihisha mitihani ya watoto? nakesha.
 
Duh Uliza humu baadhi tunafahamiana.

Kama ningekuwa na brain ya kusoma udaktari au kukariri sheria, ningeringa sana usingeniongelesha.

How about mwalimu nakuwa nasshihisha mitihani ya watoto? nakesha.
Stress za mwalimu haziwezi ku survive humu.

Walimu wanavihoja vyao special. Na unasahihisha mitihani kila siku? 😂
 
Kuna siku niliuza kiwanja zamani nikapita Bar nikapukuta yote.
Narudi home kesho mchana maza ananichora tu,kiwanja kimeenda.
 
Hizi hizi safari lager au pombe gani mkuu
Za kawaida tu nilikua na limalaya fulani la kihindi na mzuka washkaji kibao kukakucha pale.
Dem piga sachi sana,hakuwa hata na shilingi maskini.
Na nishamkopa sana tu kabla.
 
Za kawaida tu nilikua na limalaya fulani la kihindi na mzuka washkaji kibao kukakucha pale.
Dem piga sachi sana,hakuwa hata na shilingi maskini.
Na nishamkopa sana tu kabla.
Dah unikumbusha krismasi fulani , tulikata milioni kwa usiku mmoja , na bado asubuhi nikaenda kutoa 200k ya supu nayo tukailamba yote😅
 
Duuh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…