Pombe imechachuka

Pombe imechachuka

Kigodoro

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2014
Posts
1,665
Reaction score
1,685
Tulitegemea iwe tamu kwa miaka walau 3. Lkn looh! Imeanza kuharibika mapema mno. Radha ya utendaji kazi wa JPM imeharibiwa na mambo matatu:-

- Bomoaboma inayoumiza wanyonge. Walipewa vibali halali na watendaji wa serikali ya chama chako. Lkn ni watendaji hao hao wanao amka alfajiri na mapema kubomoa nyumba hizo za wanyonge. Wakilia hawasikilizwi.

Ni kilio cha samaki.
- Kuufyata kwa serikali ya JPM kwa wamiliki wa shule binafsi. Hawa wamiliki walipo tishia kutofungua shule zao kesho yake KATIBU wa wizara Sifuni Mchome akajichoma mwenyewe.

Akayakanusha maandiko ya wizara yake mwenyewe kwa maneno rahisi ati yana nukuliwa vibaya. Lol! Sifuni acha hizo. Sema kweli tu kuwa mumeufyata. Chezea Bongo wewe!? Na hapo bado hamjaanza kuwaghasi wauza sembe. Mtaweza kweli?

- Ni Jana tu JPM alipokuwa akijibu maswali ya waandishi wa habari kwa majibu makavu na nyodo utadhani wake wenza waliogombana. Kila MTU alibakia kinywa wazi akimshangaa JPM kuwa kaingiwa na uwendawazimu wa madaraka ama vipi?

Tuna wasiwasi kama Pombe hii itatufikisha mwisho wa sherehe. Imeanza kuchachuka mapema mno.
 
Tulitegemea iwe tamu kwa miaka walau 3. Lkn looh! Imeanza kuharibika mapema mno. Radha ya utendaji kazi wa JPM imeharibiwa na mambo matatu:-
- Bomoaboma inayoumiza wanyonge. Walipewa vibali halali na watendaji wa serikali ya chama chako. Lkn ni watendaji hao hao wanao amka alfajiri na mapema kubomoa nyumba hizo za wanyonge. Wakilia hawasikilizwi. Ni kilio cha samaki.
- Kuufyata kwa serikali ya JPM kwa wamiliki wa shule binafsi. Hawa wamiliki walipo tishia kutofungua shule zao kesho yake KATIBU wa wizara Sifuni Mchome akajichoma mwenyewe. Akayakanusha maandiko ya wizara yake mwenyewe kwa maneno rahisi ati yana nukuliwa vibaya. Lol! Sifuni acha hizo. Sema kweli tu kuwa mumeufyata. Chezea Bongo wewe!? Na hapo bado hamjaanza kuwaghasi wauza sembe. Mtaweza kweli?
- Ni Jana tu JPM alipokuwa akijibu maswali ya waandishi wa habari kwa majibu makavu na nyodo utadhani wake wenza waliogombana. Kila MTU alibakia kinywa wazi akimshangaa JPM kuwa kaingiwa na uwendawazimu wa madaraka ama vipi?
Tuna wasiwasi kama Pombe hii itatufikisha mwisho wa sherehe. Imeanza kuchachuka mapema mno.


Mkuu ni mara ngapi tumeambiwa kuwa CCM ni ILE ILE!!!!!

Hakuna Jipya ndani ya CCM.

 
Tulitegemea iwe tamu kwa miaka walau 3. Lkn looh! Imeanza kuharibika mapema mno. Radha ya utendaji kazi wa JPM imeharibiwa na mambo matatu:-
- Bomoaboma inayoumiza wanyonge. Walipewa vibali halali na watendaji wa serikali ya chama chako. Lkn ni watendaji hao hao wanao amka alfajiri na mapema kubomoa nyumba hizo za wanyonge. Wakilia hawasikilizwi. Ni kilio cha samaki.
- Kuufyata kwa serikali ya JPM kwa wamiliki wa shule binafsi. Hawa wamiliki walipo tishia kutofungua shule zao kesho yake KATIBU wa wizara Sifuni Mchome akajichoma mwenyewe. Akayakanusha maandiko ya wizara yake mwenyewe kwa maneno rahisi ati yana nukuliwa vibaya. Lol! Sifuni acha hizo. Sema kweli tu kuwa mumeufyata. Chezea Bongo wewe!? Na hapo bado hamjaanza kuwaghasi wauza sembe. Mtaweza kweli?
- Ni Jana tu JPM alipokuwa akijibu maswali ya waandishi wa habari kwa majibu makavu na nyodo utadhani wake wenza waliogombana. Kila MTU alibakia kinywa wazi akimshangaa JPM kuwa kaingiwa na uwendawazimu wa madaraka ama vipi?
Tuna wasiwasi kama Pombe hii itatufikisha mwisho wa sherehe. Imeanza kuchachuka mapema mno.

Mtaongea weeee na bado kihama kinakuja kwenu, kama uliishi kimazoea tutakukamua tu ..hizo porojo zenu hukoooo!
 
Mtaongea weeee na bado kihama kinakuja kwenu, kama uliishi kimazoea tutakukamua tu ..hizo porojo zenu hukoooo!

Katiba inaturuhusu kutoa maoni yetu mkuu. Nchi ni yetu sote
 
Tuliwaambia tulieni bado mapema mno acheni mapepe, lkn wapi hamkusikia, cha muhimu Mapambano yaendelee kudai Tanganyika yetu toka mikononi mwa wafaidhina
 
Tuliwaambia tulieni bado mapema mno acheni mapepe, lkn wapi hamkusikia, cha muhimu Mapambano yaendelee kudai Tanganyika yetu toka mikononi mwa wafaidhina

Ni kweli usemayo mkuu. Huyu mtu hatokuwa na jipya. Anaendeshwa na mfumo ccm. Na ccm ni ile ile..
 
Tulitegemea iwe tamu kwa miaka walau 3. Lkn looh! Imeanza kuharibika mapema mno. Radha ya utendaji kazi wa JPM imeharibiwa na mambo matatu:-
- Bomoaboma inayoumiza wanyonge. Walipewa vibali halali na watendaji wa serikali ya chama chako. Lkn ni watendaji hao hao wanao amka alfajiri na mapema kubomoa nyumba hizo za wanyonge. Wakilia hawasikilizwi. Ni kilio cha samaki.
- Kuufyata kwa serikali ya JPM kwa wamiliki wa shule binafsi. Hawa wamiliki walipo tishia kutofungua shule zao kesho yake KATIBU wa wizara Sifuni Mchome akajichoma mwenyewe. Akayakanusha maandiko ya wizara yake mwenyewe kwa maneno rahisi ati yana nukuliwa vibaya. Lol! Sifuni acha hizo. Sema kweli tu kuwa mumeufyata. Chezea Bongo wewe!? Na hapo bado hamjaanza kuwaghasi wauza sembe. Mtaweza kweli?
- Ni Jana tu JPM alipokuwa akijibu maswali ya waandishi wa habari kwa majibu makavu na nyodo utadhani wake wenza waliogombana. Kila MTU alibakia kinywa wazi akimshangaa JPM kuwa kaingiwa na uwendawazimu wa madaraka ama vipi?
Tuna wasiwasi kama Pombe hii itatufikisha mwisho wa sherehe. Imeanza kuchachuka mapema mno.

Basi pombe yako kunywa mwenyewe

Kubomoa kulikua hakuepukiki, hakuna nchi inayoweza kuendelea kuwepo kwa kutumia jina la wanyonge tu bila kujali utaratibu... BTW, waliobomolewa wengi sio wanyonge bali ni wenye uwezo walioamua kupangisha hizyo nyumba

Kuhusu shule, before kuweka bei elekezi, ni lazima kujua kila kitu kinachochangia cost ya kurun every school, serikali inasubsidize shule zake, nani anasubsidize za private???

Kuhusu majibu ya jeuri ya jana, ni kweli kakosea, na nina uhakika kabisa atapata shule ya public speaking... that was not a good gesture
 
Mtaongea weeee na bado kihama kinakuja kwenu, kama uliishi kimazoea tutakukamua tu ..hizo porojo zenu hukoooo!

Fafanua vizuri nani aliyeishi kimazoea????

je, ni wale viongozi mliowateua kusimamia Bandari kisha kupitisha makontena bila Ushuru????

Je, ni wale viongozi mliowateua TRA na kusindwa kusimamia ukusanyaji wa kodi??

je, ni wale mawaziri mliowateua katika wizra na kushindwa kusimamia upatikanaji wa madawa na huduma bora za afya???

je, ni wale viongozi mliowateua katika halmashauri na kushindwa kusimamia usafi wa mazingira??

Je, n wale viongozi mliowateua kusimamia maliasili na mwishowe kusai=firisha twiga wetu ndani ya ndege??

je, ni wale viongozi mliowateua kusimamia mbuga zetu mwishowe wakaua embo na kusafirisha meno nje ya nchi??

Je, ni wale viongozi mliowateua kusimamia benki kuu mwishowe wakagawana ESCROW na EPA???

Je, je, Je, Je, Je Je Je, je, Je, Je, Je Je !!!!!!!!!!


Ni akina nani hao???? Naomba ufafanuzi ili niendelee kuchangia hoja hii!!!!!
 
Basi pombe yako kunywa mwenyewe

Kuhusu shule, before kuweka bei elekezi, ni lazima kujua kila kitu kinachochangia cost ya kurun every school, serikali inasubsidize shule zake, nani anasubsidize za private???

je, kwa hiyo katibu wa Wizara Sifuni Mchome alikula matapishi yake??????

hatukutegemea mtu kama Katibu wa Wizara anaweza kutoa kauli kisha akaja kuikanusha mwenyewe!!!!!

Ni aibu kwa Taifa letu ina maanisha Serikali inawaogopa Wafanyabiashara!!!! Je, tukisema kuwa shule binasfi ni za Viongozi Serikalini mtatukatalia????
 
Tulitegemea iwe tamu kwa miaka walau 3. Lkn looh! Imeanza kuharibika mapema mno. Radha ya utendaji kazi wa JPM imeharibiwa na mambo matatu:-
- Bomoaboma inayoumiza wanyonge. Walipewa vibali halali na watendaji wa serikali ya chama chako. Lkn ni watendaji hao hao wanao amka alfajiri na mapema kubomoa nyumba hizo za wanyonge. Wakilia hawasikilizwi. Ni kilio cha samaki.
- Kuufyata kwa serikali ya JPM kwa wamiliki wa shule binafsi. Hawa wamiliki walipo tishia kutofungua shule zao kesho yake KATIBU wa wizara Sifuni Mchome akajichoma mwenyewe. Akayakanusha maandiko ya wizara yake mwenyewe kwa maneno rahisi ati yana nukuliwa vibaya. Lol! Sifuni acha hizo. Sema kweli tu kuwa mumeufyata. Chezea Bongo wewe!? Na hapo bado hamjaanza kuwaghasi wauza sembe. Mtaweza kweli?
- Ni Jana tu JPM alipokuwa akijibu maswali ya waandishi wa habari kwa majibu makavu na nyodo utadhani wake wenza waliogombana. Kila MTU alibakia kinywa wazi akimshangaa JPM kuwa kaingiwa na uwendawazimu wa madaraka ama vipi?
Tuna wasiwasi kama Pombe hii itatufikisha mwisho wa sherehe. Imeanza kuchachuka mapema mno.

Wewe ni muongo hapo kwenye shule binafsi ninaeitetea Serikali kwa 100% tangu siku ya kwanza agizo lilivyotoka Serikali haikuwahi kuwaambia shule binafsi walipe ada kadhaa bali waliwakataza kuongeza ada kwa mwaka huu bila ya idhini ya Kamishna wa Elimu, na wala haikuwahi kutamka hayo unayoyasema ni kwamba ninyi kwa kuwa mnaishi kutafuta tu kasoro aidha kwa makusudi au kwa kutokuwa makini mkaelewa vingine lkn usijali, Serikali inakuja na ada elekezi kama ilivyosema kwa shule binafsi na wengi watazifunga!
 
Wewe ni muongo hapo kwenye shule binafsi ninaeitetea Serikali kwa 100% tangu siku ya kwanza agizo lilivyotoka Serikali haikuwahi kuwaambia shule binafsi walipe ada kadhaa bali waliwakataza kuongeza ada kwa mwaka huu bila ya idhini ya Kamishna wa Elimu, na wala haikuwahi kutamka hayo unayoyasema ni kwamba ninyi kwa kuwa mnaishi kutafuta tu kasoro aidha kwa makusudi au kwa kutokuwa makini mkaelewa vingine lkn usijali, Serikali inakuja na ada elekezi kama ilivyosema kwa shule binafsi na wengi watazifunga!
zikifungwa utanufaika vipi mkuu?
 
Wewe ni muongo hapo kwenye shule binafsi ninaeitetea Serikali kwa 100% tangu siku ya kwanza agizo lilivyotoka Serikali haikuwahi kuwaambia shule binafsi walipe ada kadhaa bali waliwakataza kuongeza ada kwa mwaka huu bila ya idhini ya Kamishna wa Elimu, na wala haikuwahi kutamka hayo unayoyasema ni kwamba ninyi kwa kuwa mnaishi kutafuta tu kasoro aidha kwa makusudi au kwa kutokuwa makini mkaelewa vingine lkn usijali, Serikali inakuja na ada elekezi kama ilivyosema kwa shule binafsi na wengi watazifunga!


Mkuu;

Binafsi sijaelewa unachotetea ni kitu gani kuhusu tamko la shule binafsi. Serikali walisema kuwa adaa isiongezeke na itumike ambayo ilitanganzwa na Serikali, lakini Wenye shule binafsi wakaipinga na mwisho akasimama yule yule SIFUNI MCHOME akakanusha kuwa hawakusema hivyo:-

Angalia hapa:-

=======================================================================================================


Shule binafsi zapigwa marufuku kupandisha ada​

Add to Delicious Share on FriendFeed Digg submit to reddit
TAGS
Prof-MchomeNa Fredy Azzah, Dar es Salaam

SERIKALI imepiga marufuku wamiliki wa shule binafsi kupandisha ada kuanzia Januari mwakani.

Hatua hiyo imekuja siku chache baada ya Serikali kutoa tamko la kufuta ada na michango mbalimbali kwa shule zake za msingi na sekondari.

Taarifa ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, iliyotolewa kwa vyombo vya habari jana na Katibu Mkuu wa wizara hiyo, profesa Sifuni Mchome, imepiga marufuku shule hizo kuongeza ada kwa mwaka wa masomo unaoanzia Januari 2016 hadi hapo watakapopata maelekezo kutoka kwa Kamishna wa Elimu.

"Wale ambao tayari wameongeza ada kwa mwaka wa masomo wa 2016 bila kibali cha Kamishna wa Elimu, wizara haitambui ongezeko hilo kwa kuwa ni batili na hivyo zimefutwa," inasema taarifa hiyo.

Taarifa hiyo ilisema, waraka wa Elimu Na. 4 wa Mwaka 2008 uliweka viwango vya ada vinavyotozwa katika shule za msingi na sekondari za Serikali na zile zisizo za Serikali.

"Ada iliyowekwa kwa shule za binafsi za kutwa ni Shilingi 150,000 huku za bweni ikiwa ni Shilingi 380,000 kwa mwaka. Aidha waraka huo ulielekeza kwamba ongezeko lolote la ada lazima lipate kibali cha Kamishna wa Elimu kabla ya kuanza kutumika," alisema.

Hata hivyo imegundulika kuna baadhi ya shule zisizo za serikali zimekuwa zikiongeza ada kila mwaka pasipo kupata kibali cha Kamishna wa Elimu.

Katika taarifa hiyo, Profesa Mchome alisema utamaduni huo wa kuongeza ada kila ifikapo mwishoni mwa mwaka umekuwa ukisababisha usumbufu mkubwa kwa wazazi/walezi na hata baadhi yao kushindwa kuendelea kusomesha vijana wao katika baadhi ya shule.

Taarifa hiyo ilisema kuwa, ada zote kwa shule zisizo za serikali zitabaki kama zilivyoidhinishwa na Kamishna wa Elimu.

Wamiliki wa shule hizo wametakiwa kuwasilisha taarifa kwa Msajili wa Shule aliyeko Idara ya Ithibati ya Shule inayoeleza kiasi cha ada kinachotozwa kwa sasa na tarehe shule ilipopata kibali kutoka kwa Kamishna wa Elimu kutoza kiwango hicho cha ada.

Novemba 27, Serikali ilitoa waraka wa elimu namba 5 wa mwaka 2015, ambao ulifuta ada zote zilizokuwa zikilipwa kwa ajili ya elimu ya sekondari ya kidato cha kwanza hadi cha nne.

Chanzo: Mtanzania. 04/12/2015
=======================================================================================================
 
SErikali ya Awamu ya Tano bado imekumbatia wale wale ambao walikuwa Awamu iliyopita.

Hivyo tutegemee madudu makubwa kuliko Awamu ya NNE endapo kama Mh. Rais hatokuwa makini na kuwaondoa kwani tayari wameshaanza kumuharibia katika awamu yake ili yatimie yale aliyosema Mh. fulani kuwa:-

"WANAOKWEPA KODI HAWATAACHA KIRAHISI............." by JK
 
Tuliwaambia tulieni bado mapema mno acheni mapepe, lkn wapi hamkusikia, cha muhimu Mapambano yaendelee kudai Tanganyika yetu toka mikononi mwa wafaidhina

Hiv inamana mtu ukiwa bavicha ndo unatokwa na akili kiasi hiki?Yaani sioni points zaidi ya mipasho na wivu wakike,rudini kwenu mtuachie nchi yetu mb.wa nyie
 
je, kwa hiyo katibu wa Wizara Sifuni Mchome alikula matapishi yake??????

hatukutegemea mtu kama Katibu wa Wizara anaweza kutoa kauli kisha akaja kuikanusha mwenyewe!!!!!

Ni aibu kwa Taifa letu ina maanisha Serikali inawaogopa Wafanyabiashara!!!! Je, tukisema kuwa shule binasfi ni za Viongozi Serikalini mtatukatalia????

Kama alivyokula matapish mbowe kwakumlamba miguu lowasa
 
Watanzania kwa wivu kwani Waziri aliyekuwepo awamu iliyopita kuna dhambi gani akiteuliwa tena hapa cha muhimu mawaziri wanatekeleza mambo ambayo Rais wa sasa anaagiza. Sasa watu wanataka sura mpya sijui zitoke sayari gani!!!
 
Hiv inamana mtu ukiwa bavicha ndo unatokwa na akili kiasi hiki?Yaani sioni points zaidi ya mipasho na wivu wakike,rudini kwenu mtuachie nchi yetu mb.wa nyie

Acha ujinga ww ccm, kwanza watakiwa ujue kuwa heshima ya binadamu inatakiwa ihifadhiwe na kudumishwa, acha kuita binadamu wenzio mbwa,

Pili me sio bavicha ni mtanganyika wa hali ya chini, sikubaliani na aina zozote za dhuluma, vitisho, ubaguzi, rushwa , uonevu na upendeleo unaendelea hapa tanganyika tunataka ziondolewe nchini na zikome kabisa.

Mwisho kila RAIA wa Tanganyika anatamani kuona serikali na vyombo vyake vyoye vya umma vinatoa nafasi zilizo sawa kwa RAIA wote, wake kwa waume bila kujali rangi, kabila, dini ama hali ya MTU.
Lkn kwa miaka yote serikali ya CCM imeshashindwa kuwajiika kwa watu wake, hayo yote huyaoni halafu bado unashinda humu kutetea CCM??? ovyo kabisa
 
Back
Top Bottom