mizambwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2008
- 4,421
- 1,792
Kama alivyokula matapish mbowe kwakumlamba miguu lowasa
HIyo unayotaka kuleta wewe ni THREAD nyingine anzisha ili tuijadili, usichanganye na hii.
kwa hiyo unakubali kuwa SIFUNI MCHOME amekula matapishi yake?????
kwa nini Rais Magufuli anakaa na watu ambao wanayumba kama upepo hawana hata mwelekeo????
Je, hajui kuwa hawa watamuharibia sifa yake ambayo kwa muda mfupi hadi nchi za nje amefahamika???
Kwa nini anakumbatia viongozi ambao ndio waliotufanya tuwe katika hali ya sasa yaani wale wa awamu ya nne???
Je, au ndio makubaliano ya kikao cha juzi?????
TUMEKUBALI CCM NI ILEILe!!!!!!!!!! HAKUNA MABADILIKO NDANI YA SERIKALI HII ISIPOKUWA MAKINI