Pombe ilishakupa kitu gani kama faida?

Sasa mkuu kama haujawahi kuvuta bangi nakushauri ujaribu, utapata faida isiyo na kikomo
Sema pia ukizidisha ina madhara yake mkuu. Bangi in moderation ni the best kuliko hata pombe.

Nilichokuja kujifunza bangi haina kumisbehave, lakini unaweza ukalewa ukamisbehave. Hapo nikagundua "Mkono wa Mungu hauna makosa kama mkono wa binadamu"
 
faida ya kwanza umepiga mzigo,faida ya pili ukimwi....
 
Hahahaha! Huenda hata mzigo wenyewe unaosema ni ndoto tu, hujala chochote. Pombe ni haramu, acha pombe mkuu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…