mambali
Senior Member
- Oct 16, 2012
- 172
- 64
katibu mkuu wa viwanda na biashara amesema atazifungia pombe zote zinazotengenezwa na kuwekwa kwenye vifuko vya plastiki almaarufu viroba ikiwa hazina viwango na pia usalama wake kwa mtumiaji ni mdogo ameyasema katika siku ya viwango iliyoshirikisha wadau mbalimbali.