FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
Well latest ni kwamba Lusinde boy and the machine wana a big media team ambao wanatangaza ushindi wake toka jana bila kujali matokeo on the ground, jana usiku they almost changed matokeo ya kata moja ya Loje, lakini msimamizi akapigana to end, what Lusinde and the machine are doing ni kutengeneza mazingara ya kuibiwa ushindi, anyways this is my last comment maana nimesikitishwa sana na huu mchezo wa speculation of members ID, kwa hili JF utawala mmenisikitisha sana kumbe halijaeleweka bado!
Kwa herini ya kutoonana tena!
Es!
Du hii kali