Kwa kuwa kumekuwepo na mitazamo tofauti baada ya Ukawa kususia bunge kutokana na kulalamikia kile kinachoitwa ubabe wa naibu spika, na kwa kuwa hili ndo jukwaa linaongoza kwa mijadala ya kisiasa nchini. Hebu tupime maoni ya watanzania kuhusu hili.
Utajaza kama ifuatavyo:-
A: Sifuatilii kabisa
B: Nafuatilia sana
C: Nafuatilia mara chache
Mwisho wa kura hii ni Jumapili 26/06/2016 Saa 4 Usiku
Utajaza kama ifuatavyo:-
A: Sifuatilii kabisa
B: Nafuatilia sana
C: Nafuatilia mara chache
Mwisho wa kura hii ni Jumapili 26/06/2016 Saa 4 Usiku