Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,328
- 23,879
Sijui if this is allowed lakini ni muhimu kujua..
nimesoma sana vitabu kuhusu getting ready for an interview, jinsi ya kubargain for salary, maswali unayoweza kuuliza au kuulizwa etc..kwenye makampuni, benki, academic institutions, etc..
Lakini juzi kaka yangu kapigiwa simu na jeshi la polisi aliapply nadhani mambo ya computer ameitwa kwenye usaili..
swali ni je, kwa taasisi kama hiyo,ni mambo gani atarajie? maswali gani? dress code? etc..nitashukuru kwa msaada wenu..
Plus, ni mara ya kwanza nimesikia watu wanaitwa usaili siku ya Jumamosi, je hili linaweza kuwa ni indication ya nini?
Mbarikiwe and thanks to JF mmaana hilo tangazo la kazi alilipata humuhumu!!!
nimesoma sana vitabu kuhusu getting ready for an interview, jinsi ya kubargain for salary, maswali unayoweza kuuliza au kuulizwa etc..kwenye makampuni, benki, academic institutions, etc..
Lakini juzi kaka yangu kapigiwa simu na jeshi la polisi aliapply nadhani mambo ya computer ameitwa kwenye usaili..
swali ni je, kwa taasisi kama hiyo,ni mambo gani atarajie? maswali gani? dress code? etc..nitashukuru kwa msaada wenu..
Plus, ni mara ya kwanza nimesikia watu wanaitwa usaili siku ya Jumamosi, je hili linaweza kuwa ni indication ya nini?
Mbarikiwe and thanks to JF mmaana hilo tangazo la kazi alilipata humuhumu!!!