Ujumbe upi aliandika.. wapi kwanza ha ha ha CCM oyee.. kidumu chama cha matatizo
Hii Nchi ishakuwa ya kujihami.........badala ya kufikiria maendeleo wao wanawaza jinsi gani wataendelea kubaki madarakani.ccm ni waoga sana ! kama kweli anatuhumiwa kutukana , dhamana kwa ajili ya matusi tu nayo inakataliwa ?
Kabisa lakini jasho la mtu kama laliwa.....demokrasia ilikufa 1964
Who are you ???????????????Tunamwandalia shitaka la ugaidi vuteni subira kidogo