Mulama
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 3,018
- 1,791
Nimeona niulize kwenu wana jf suala hili la jinsi polisi wa nchi hii wanavyoendesha kesi za jinai,
Utaona polisi anakamata au analetewa mtuhumiwa kituoni na kumuweka ndani yaani mahabusu kasha kesho yake au baadae atamtoa na kuanza kumuhoji maswali huku akinakili majibu ya mtuhumiwa. Zaidi ya hapo san asana ataenda na mtuhumiwa sehemu anakoishi au alipokamatiwa na kupekuapekua juu juu halafu jalada linakuwa tayari kupelekwa mahakamani.
Je hatua hizi mnadhani zinatosha ku establish kosa la mtuhumiwa na kujenga merit ya kesi mahakamani?
Nawasilisha
Utaona polisi anakamata au analetewa mtuhumiwa kituoni na kumuweka ndani yaani mahabusu kasha kesho yake au baadae atamtoa na kuanza kumuhoji maswali huku akinakili majibu ya mtuhumiwa. Zaidi ya hapo san asana ataenda na mtuhumiwa sehemu anakoishi au alipokamatiwa na kupekuapekua juu juu halafu jalada linakuwa tayari kupelekwa mahakamani.
Je hatua hizi mnadhani zinatosha ku establish kosa la mtuhumiwa na kujenga merit ya kesi mahakamani?
Nawasilisha