Roho zao ndiyo roho za wanaccmView attachment 3656303
Picha aliyoisemq Tundu Lissu ni hii kwamba akiwa Tarime alipigwa na Polisi mpaka wakachana Kombati yake.
Hii Kombati ilivyo ngumu inakuwaje wanampiga mpaka kuichana?
Yawezekana walikuwa wanamgawana. Msomi na mtetezi wa rasilimali za nchi na mtu anayependa haki na usawa. Anafanyiwa hivi na Polisi form division 4 au zero kabisa.
Hii nchi inahitaji sana ukombozi kutoka kwenye makucha ya Ukoloni Mamboleo
Hakika Wana roho mbaya wala sii siriView attachment 3656303
Picha aliyoisemq Tundu Lissu ni hii kwamba akiwa Tarime alipigwa na Polisi mpaka wakachana Kombati yake.
Hii Kombati ilivyo ngumu inakuwaje wanampiga mpaka kuichana?
Yawezekana walikuwa wanamgawana. Msomi na mtetezi wa rasilimali za nchi na mtu anayependa haki na usawa. Anafanyiwa hivi na Polisi form division 4 au zero kabisa.
Hii nchi inahitaji sana ukombozi kutoka kwenye makucha ya Ukoloni Mamboleo
mbona umechelewa kuwatambua, japo kuna wachache mno ambao hawana hizo roho
Division zero kutawala vichwa vyenye PhD na usomi mkubwa ndio maana nchi haiendelei. Wanatumia nguvu kubwa kulinda matumbo yao kuliko sheria.
Shida ni kwamba brainless people are easier to control. Mfumo hautaki watu wenye weledi wanaoweza kuhoji illegal orders, wanataka majinga majinga ya kufuata amri tu.Sijawahi kuelewa kada ya ulinzi wanapenda kuchukuliwa zero n 4, ili hali zama hizi zinahitaji watu wenye weledi, ujuzi na maarifa.
Lol.
Kuna bosi wao aliwahi kufafanua kuwa huwezi kumchukua Div 1 ukampanga lindo la usiku (wakati mwingine kuna mvua na mbu). Ndo maana inabidi wachukue hao wasio na options zingineSijawahi kuelewa kada ya ulinzi wanapenda kuchukuliwa zero n 4, ili hali zama hizi zinahitaji watu wenye weledi, ujuzi na maarifa.
Lol.
nimeogopa๐ฅHata hao wachache hawapo, amini nakuambia.
Nimecheka sana aisee ๐๐๐Kuna bosi wao aliwahi kufafanua kuwa huwezi kumchukua Div 1 ukampanga lindo la usiku (wakati mwingine kuna mvua na mbu). Ndo maana inabidi wachukue hao wasio na option