.
Balantanda, Wajeshi, Polisi, Wanausalama na Waserikali, hawaruhusiwi kujishughulisha na siasa wakiwa katika nyadhifa zao, ila haki zingine zote zakiraia wanazo kama raia wengine wowote ikiwemo haki ya kuwa wanachama wa vyama vya siasa ila wasishabikie siasa, hivyo hizi taarifa za mjeshi fulani, polisi fulani au mserikali fulani kuwa kada wa chama akiwa kwenye utumishi wa umma, morally its wrong ila practically ndio watu wa kupongezwa na kupewa ulaji zaidi na zaidi kwa vile ni makada wa chama tawala.
The deviding line kwenye conflict of interest btn their political affiliation and duty of care is very thin, ndio maana Mahita, Ex-Darasa la 8 akiwa RPC Moshi, alimvurumishia mabomu Mrema bila huruma, akaonekana amefanya kazi mzuri, akapewa U IGP, hata kwa kumwangalia tuu machoni, utatambua wazi, thinking capacity yake ni sero flani kama kina Makamba type.
Sasa hawa wakuu baada ya kustaafu utumishi wa umma, wanahaki kushiriki shughuli za kisiasa kama raia wengine, ndio maana uliwaona kina Maj.Gen. Jesse Makundi, ulimsikia Mboma, Afande Tibaigana etc, ni haki yao.