Polisi waweka ulinzi mkali Dodoma

Polisi waweka ulinzi mkali Dodoma

Majuzi Marekani tumeona Republican na Democratic wakifanya mikutano yao bila nagari ya deraya wala Makundi ya mbwa wapolisi. ANC,ZANU, nk nk hawajawahi kufanya mikutano wakiwa wamezingirwa na maelfu ya askari idadi kama ya wajumbe.
Nini kimepelekea ccm kuvunja rekodi hii ya dunia?
Tukitegemea polisi tutashindwa - kikwete .
 
Umesahu kuwa BAVICHA waliapa kuzuia mkutano wa CCM
Ina maana Bavicha inaogopewa na watawala kiasi hicho hadi kufanya majeshi na vikosi vya usalama vihamie Dodoma?

Kama ni hivyo basi Bavicha ni kiboko na wanastahili kuheshimiwa na kupewa nishani ya ushujaa.....
 
BAVICHA mziki wenu ni balaaaa........naona vijana wasaka tonge lumumba wameshindwa.....
 
Ina maana Bavicha inaogopewa na watawala kiasi hicho hadi kufanya majeshi na vikosi vya usalama vihamie Dodoma?

Kama ni hivyo basi Bavicha ni kiboko na wanastahili kuheshimiwa na kupewa nishani ya ushujaa.....

Mbona hao BAVICHA hawajapeleka makalio yao Dodoma?.Polisi washindane na BAVICHA??? Unaota.Polisi hawawezi lala macho wakaacha nyumba zao na familia zao wakakesha kwa ajili ya BAVICHA.Unajua kile ambacho polisi humfanyia mtu ambaye anawakosesha usingizi wasilale ili wakishamfanyia hicho wanakuwa wana uhakika wa kulala majumbani bila shida? Unakijua? Kama hukijui kitafute kwa kuwasumbua polisi wasilale usingizi.Na kikikukuta kinakuwa cha kwako peke yako (personal to yourself)

Kama hawakijui BAVICHA waambie waendeleze bifu na Polisi.Polisi watashughulika na mmoja baada ya mwingine kwa wakati wao na huyo mmoja mmoja atajua polisi ni nani kibinafsi
 
Ina maana Bavicha inaogopewa na watawala kiasi hicho hadi kufanya majeshi na vikosi vya usalama vihamie Dodoma?

Kama ni hivyo basi Bavicha ni kiboko na wanastahili kuheshimiwa na kupewa nishani ya ushujaa.....
dah kweli, c nishani2 wanatakiwa wapewe nchi kabisa
 
Ukiwa mwizi wa mali za umma lazima ujishuku vifaru maderaya,mbwa farasi vikosi mbali mbali jibu ni moja wanahofu jinsi walivyoinyonya nchi hii hawajiamini kuna siku watashangaa
 
Yaani ccm inawaogopa bavicha kiasi cha kutumia jeshi? Aya mie napita tu
 
Mbona hao BAVICHA hawajapeleka makalio yao Dodoma?.Polisi washindane na BAVICHA??? Unaota.Polisi hawawezi lala macho wakaacha nyumba zao na familia zao wakakesha kwa ajili ya BAVICHA.Unajua kile ambacho polisi humfanyia mtu ambaye anawakosesha usingizi wasilale ili wakishamfanyia hicho wanakuwa wana uhakika wa kulala majumbani bila shida? Unakijua? Kama hukijui kitafute kwa kuwasumbua polisi wasilale usingizi.Na kikikukuta kinakuwa cha kwako peke yako (personal to yourself)

Kama hawakijui BAVICHA waambie waendeleze bifu na Polisi.Polisi watashughulika na mmoja baada ya mwingine kwa wakati wao na huyo mmmoa mmoja atajua polisi ni nani kibinafsi
watahangaika na wezi CCM na serikali yao wanasomeshwa na vijana ambao hawana hata fimbo wamekausha hazina kwa kupeleka majeshi polisi mikoa mitano wote wako huo mbwa farasi hao wanakula hewa ha ha nchi ya wagagagigigoko
 
Majuzi Marekani tumeona Republican na Democratic wakifanya mikutano yao bila nagari ya deraya wala Makundi ya mbwa wapolisi. ANC,ZANU, nk nk hawajawahi kufanya mikutano wakiwa wamezingirwa na maelfu ya askari idadi kama ya wajumbe.
Nini kimepelekea ccm kuvunja rekodi hii ya dunia?

Masifa tu, hakuna kingine.
 
Ulinzi wa nini kwenye Mkutano wa chama wa ndani? hiki chama kinapeda sana kutumia jeshi letu la polisi katika mambo yake!
 
Cha kushangaza ni mkutano Wa ndani sasa kama ni mkutano Wa ndani kwa nini unalindwa hivyo maana awawaamini wanachama wao ?
 
Back
Top Bottom