NDI NDI NDI
Senior Member
- May 30, 2016
- 123
- 94
Nimecheka sana hii picha,kwa hiyo yule pale juu ya ukuta ndo nani kiulinzi/usalama?Naona alitaka walindwee na hawa vibaka walinzi wa CHADEMA.Waangalie walinzi wa CHADEMA wakiwa wamevaa miwani yao ya kuchomea magrill ya chuma.Halafu angalia yule aliyekaa juu ya ukuta kujifanya mlinzi hata ukipuliza upepo tu anadondoka.Hawa ndio walinzi wa CHADEMA wacheck
![]()