Polisi waweka ulinzi mkali Dodoma

Polisi waweka ulinzi mkali Dodoma

Subiri Chadema watakapoitisha mkutano wao, utasikia jinsi taarifa za kiintelligensia zitakavyokuwa nyingi!
 
Ina maana Bavicha inaogopewa na watawala kiasi hicho hadi kufanya majeshi na vikosi vya usalama vihamie Dodoma?

Kama ni hivyo basi Bavicha ni kiboko na wanastahili kuheshimiwa na kupewa nishani ya ushujaa.....
Taarifa zinadokeza kwamba Bavicha ndio taasisi bora na imara zaidi ya vijana kwenye ukanda wa Maziwa Makuu , zipo tetesi pia kwamba inaongoza Africa lakini hili tunalichunguza zaidi , tuki confirm tutakuja hapahapa jukwaani kuwathibitishia .
 
pamoja na kupata lunch nimeshindwa kukuelewa..
Mkuu huwezi kugundua hiyo kuwa typo basi unahitaji maombi au Lunch iliambatana na maji makubwa ambayo madereva wa mabasi huwa wanayanywa kisha kutoa jasho jingi? hahaha
 
Naq hapo ni kutokana na tishio la taasisi iliyopo kisheria iliyofuata sheria, bavicha. Je, itakuwaje sijui kama kutakuwepo na tishio mfano Zambia kutaka kuvamia TZ!?
 
Mkuu huwezi kugundua hiyo kuwa typo basi unahitaji maombi au Lunch iliambatana na maji makubwa ambayo madereva wa mabasi huwa wanayanywa kisha kutoa jasho jingi? hahaha
nadhani nawe unahitaji maombi kwa kuwa negative oriented....
mpaka muda huu mimi sijaelewa ''nagari ya deraya'',pengine kweli mi ''kilaza''...
 
nadhani nawe unahitaji maombi kwa kuwa negative oriented....
mpaka muda huu mimi sijaelewa ''nagari ya deraya'',pengine kweli mi ''******''...
Magari ya delaya
 
kwa hali halisi ilivyo ndani ya serikali na CCM, Magufuli anastahili kulindwa kwa nguvu zote.Usichezee kutikisa maslahi ya watu wewe.Nchi changa hii.
 
Majuzi Marekani tumeona Republican na Democratic wakifanya mikutano yao bila na gari ya deraya wala Makundi ya mbwa wapolisi. ANC,ZANU, nk nk hawajawahi kufanya mikutano wakiwa wamezingirwa na maelfu ya askari idadi kama ya wajumbe.
Nini kimepelekea CCM kuvunja rekodi hii ya dunia?
Pichisha ...labda utasomeka
 
Where is BAVICHA. Yale matamko ya wiki iliyopita yapo wapi, Wameufyata mkia kimya
 
Majuzi Marekani tumeona Republican na Democratic wakifanya mikutano yao bila nagari ya deraya wala Makundi ya mbwa wapolisi. ANC,ZANU, nk nk hawajawahi kufanya mikutano wakiwa wamezingirwa na maelfu ya askari idadi kama ya wajumbe.
Nini kimepelekea ccm kuvunja rekodi hii ya dunia?
tatizo hawa ndugu wanawachukulia Watanzania for granted.

tunamshukuru Mungu wa mbinguni sisi ni wapole sana, wao wanasema tuna amani na wanadai amani hiyo imeletwa na vyombo vyao hivi vilivyofurika huko Dodoma. but amani hailetwi kwa matumizi ya vyombo. vyombo huleta utulivu tu - and utulivu si amani.

kuna siku si bunduki wala kifaru vitavyoweza kuwazuia wana wa nchi kunyanyuka na kusema imetosha. wakumbuke msemo wa wahenga "ukila na kipofu halahala usimguse mkono, maana akishituka huyo..."
 
Back
Top Bottom