Polisi wavunja Ibada ya Kanisa la Ufufuo na Uzima, wawataka Waumini kutawanyika

Polisi wavunja Ibada ya Kanisa la Ufufuo na Uzima, wawataka Waumini kutawanyika

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Jeshi la Polisi Dar es Salaam limechukua hatua ya kuwataka waumini wa Kanisa la Ufufuo na Uzima kutawanyika mara moja na kwa amani, baada ya kanisa hilo kuendesha ibada njee ya eneo la kanisa licha ya agizo rasmi la kusitishwa kwa shughuli zake.

Tukio hilo limetokea siku chache tu baada ya Msajili wa Jumuiya za Kiraia kutoa tamko rasmi la kufuta usajili wa kanisa hilo, likidai kwamba limekiuka Sheria ya Jumuiya ya Kiraia (Sura ya 337). Ilisema kuwa madai yake yalikua na mwelekeo wa kisiasa, na yangeweza kusababisha chuki kati ya umma na serikali. Kwa mantiki hiyo, usajili wake ulisitishwa, na shughuli zote za kidini zilipaswa kusitishwa mara moja.

 
Ingeanza kwanza Serikali, ambayo Mahakamani, imekataa kuwa haijalifungia kanisa hilo kufanya shughuli zake, uwandani (field) polisi wanasema kuwa kuna amri imetolewa na serikali kusitisha kazi zote za kanisa hilo.

Walikua wanatarajia Gwaji Boy ajitokeze watokomee nae. Ila hajazuka kutoka mashimoni bado.
 
Wewe ni kati ya wajinga wengi ambao ni zao la Elimu mbovu ya CCM, serikali inapoamua kukandamiza Uhuru wa raia kinyume cha Sheria lazima ipingwe. Hata wakoloni walikuwa na serikali na watu walishindana nazo. Funguka kichwa we zombi.
Hakuna wa kushindana na mamlaka

Kama ni ibada hata chumbani kwako unaweza kufanya mpuuzi wew
 
Hakuna wa kushindana na mamlaka

Kama ni ibada hata chumbani kwako unaweza kufanya mpuuzi wew
We kilaza usipangie watu pakufanyia Ibada. Mwambie na anayefungia makanisa afunge na misikiti ili wote tusalie vyumbani.
Mamlaka haziwezi kushindana na nguvu ya umma.
 
Back
Top Bottom