Francis12
JF-Expert Member
- Sep 30, 2016
- 7,533
- 22,276
Polisi wamefika nyumbani kwa Mbunge wa Arusha mjini kwa ajili ya kufanya upekuzi! Itakumbukwa kuwa Tangu alipokamatwa Dodoma Jumatano jioni Mbunge huyo hajaruhusiwa kuonana na mtu yeyote,sio mke wake wala mwanasheria wake,
RPC amekuwa akijibu kuwa ni amri kutoka Ikulu kuwa asionane na mtu yeyote.Polisi kuzuia mbunge asionane na mtu ni ukikukwaji wa haki za msingi za binadamu na uvunjwaji wa katiba ya nchi.
Updates;
Polisi wamesachi nyumbani kwa mbunge wakiongozwa na OC CID na hawajakuta chochote. Ulikuwa msafara wa magari manne ya polisi walio na kila aina ya silaha
RPC amekuwa akijibu kuwa ni amri kutoka Ikulu kuwa asionane na mtu yeyote.Polisi kuzuia mbunge asionane na mtu ni ukikukwaji wa haki za msingi za binadamu na uvunjwaji wa katiba ya nchi.
Updates;
Polisi wamesachi nyumbani kwa mbunge wakiongozwa na OC CID na hawajakuta chochote. Ulikuwa msafara wa magari manne ya polisi walio na kila aina ya silaha