<br />wananchi wa geita,wamefanya maandamano ya kumtaka diwani wao atoke madarakanii kwa kile kinachodaiwa alisababisha mkuu wa halmashauri kujiuzulu hapo juzi.Lakini mapolisi wametokea na kuwapiga wananchi,huku wakivunja nyumba za watu na kutumia risasi kunyamazisha maandamano hayo jamani tanzania tunaelekea wapi?<br />
source itv habari saa 2 usiku
<br /><br /><br />
<br /><br />
....... Niliumia sana nilipoona hata kikongwe kapigwa na polisi kwa kufuatwa ndani ya nyumba yake.
<br />Kama kawaida, vyombo vya dola vikiongozwa na polisi huko Geita vimeripotiwa kumuua mtu mmoja na kuwajarehi wengine kwa risasi za moto wakati raia hao wa kata moja ya Geita kuandamana kwa amani wakishinikiza diwani wao ajiuzuru baada ya diwani wao huyo kushiriki katika baraza la madiwani kumwondoa kiongozi aliyesadikiwa kutetea maslahi ya wananchi. Wananchi wanauliza, sisi ndio tuliomchagua diwani wetu na tuna haki ya kumwondoa tumepigwa na polisi kwa nini?<br />
Source; ITV saa 8 usiku
<br />Ndio Tatizo la kutokuwa na mamlaka ya kwa Viogozi wakuu ... Polisi wanajua ..Hatafanywa chochote ...na unajua nini..? watarudia tena na tena ..yuko wapi mwenye mamlaka ya kuongoza nchi kwa dhati na kuisimamia? ... Wachukuliwe hatua basi ..Leo arusha..kesho ..geita... kkutwa..mara... msururu ... Ahh just CraPp!!