chitambikwa
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 3,941
- 900
Polisi wilayani kahama wameua majambazi wanne kati ya saba waliokuwa wanijiandaa kufanya uvamizi. Habari zilizopatikana hapa kahama zinasema polisi walipigiwa simu na raia wema na walipofika eneo majambazi walipokuwa waliaanza kufyatuliana risasi na kufanikiwa kuwatoa uhai raia hao. Watu hao wameuwaa katikati ya barabara inayotoka kahama kueleke Kakola (bulyahyulu).