Ndg zangu wanajf jana niliona polisi wanaponda utaratibu mpya wa kuingiza salary zao kupitia bank ya NMB. Eti wengine wamepata kitambo na wengine mpaka leo hakieleweki na kutrace kujua mshahara uko wapi eti ni ngumu. Walikuwa wamenuna kweli mpaka nikaogopa nikaondoka wasije kunipa kesi!