Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,349
- 6,476
Hivi hawa polisi wanaokuwa zamu, vituoni, barabarani na kusimamia vituo vya kupigia kura muda wote wanapiga kura saa ngapi na wapi? Au wenyewe huwa hawataki kupiga kura? Au CCM wanajua wakipiga kura hawatawachagua kwani vile vijumba vyao kama vya bata vinawakera?