Polisi wamshughulikie Mchange katika mambo haya 10...

Polisi wamshughulikie Mchange katika mambo haya 10...

Malisa Godlisten

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2010
Posts
202
Reaction score
1,588
Nalipongeza jeshi la Polisi Dar kwa kumkamata na kumuweka chini ya ulinzi kada wa chama cha ACT Bw.Habib Mchange, ili kuisaidia jeshi hilo juu ya tuhuma alizozitoa kwa CHADEMA.

Pamoja na mambo mengine, Mchange aulizwe maswali yafuatayo:

1.Kwa kuwa amekiri kutumiwa na CHADEMA kutekeleza mauaji mbalimbali, aseme kwa sasa huko alipo wamemtumia kufanya mauaji ya nani?

2.Kama CHADEMA walimtumia, kwanini tusiamini kuwa hata sasa anatumika kwa kuwa ameshakuwa mtu wa "kutumikatumika"?

3.Kama anakubali CHADEMA walimtumia kupanga mipango ya mauaji, mbona anakataa kuhusika na njama za kumuua Dr.Slaa zilizotolewa na madiwani wa Shinyanga?

4.Aeleze kwa kina nani alimuua Mwangosi na atoe na ushahidi wa kutosha.

5.Aeleze ni kivipi CHADEMA walivaa sare za Polisi na kutekeleza mauaji ya Mwangosi.

6.Aeleze ni Afisa gani wa Polisi aliyewapa CHADEMA hizo sare na silaha za kumuua Mwangosi, na kwanini Afisa huyo hakuchukuliwa hatua.

7.Na kama Polisi wanafanya dili ya kuwaazima CHADEMA sare zao pamoja na Silaha ili kufanya uhalifu, kwanini hakuripoti muda wote hadi alipokuja kusema leo? Miaka mitatu aliyokaa kimya haoni alichangia watanzania wengi wasio na hatia kuuawa na CHADEMA kwa kupewa sare na Polisi?

8.Kwanini hakumshauri Rais Kikwete amfukuze kazi RPC Kamuhanda? maana kwa mujibu wa maelezo yake ndiye aliyesimamia mauaji ya Mwangosi kwa kushirikiana na CHADEMA.

9.Kwa kuwa amekiri yeye ni mtu wa dili za "mauaji" aeleze alishiriki nafasi gani kutekeleza mauaji ya Mwangosi? Alisambaza silaha kwa CHADEMA? Aliwabebea CHADEMA sare za Polisi? Au mchango wake ulikua upi?

10.Mwisho, ASIPEWE DHAMANA kwa kuwa anatuhumiwa kwa kupanga mauaji ( Conspiracy to Commit Murder).

(Pichani ni Habib Mchange enzi za ujana wake).
 

Attachments

  • 1408298389727.jpg
    1408298389727.jpg
    62 KB · Views: 5,804
Bado Mnyika,Lissu,Mbowe.
Na hayo Maswali wataulizwa wao.
Mchange kaenda kutoa melezo tuu!

Kwa hiyo bavicha mna imani na jeshi letu la polis I? Litapochukua hatua ambazo hazitokufurahisha usisahau kulipongeza jeshi letu La polisi.

Nashukuru kuona bavicha mnaanza kuliamini jeshi letu la polisi na usisahau kumshauri mbowe kupeleka hule mkanda wa mauji ya Soweto.

Nakutakia kila LA kheri kwenye kugombea uenyekiti wa bavicha.
 
Wakamatwe basi watuhumiwa wa mauaji na utekaji huo ambao Habibu amewataja. Watu hao ni pamoja na
  1. Freeman Mbowe
  2. Wilbroad Slaa
  3. John Mnyika
  4. Tundu Lissu
  5. Henry Kilewo
  6. Godbless Lema nk
 
Ukitoa maelezo ambayo huwezi kuyathibitisha kwa kina basi kuna kila sababu ya kupandishwa kizimbani kwanza kwa uzushi na pili kupoteza muda na rasilimali chungu nzima za polisiCCM. Wakati watakaoupoteza kushughulikia uzushi wa huyu msaliti polisiCCM wangeweza kuutumia katika mambo mengine muhimu kwa mfano uchunguzi wa mabilioni ya Uswiss.

Bado Mnyika,Lissu,Mbowe.
Name hayo Maswali wataulizwa wao.
Mchange kaenda kutoa melezo tuu!
 
Wakamatwe basi watuhumiwa wa mauaji na utekaji huo ambao Habibu amewataja. Watu hao ni pamoja na
  1. Freeman Mbowe
  2. Wilbroad Slaa
  3. John Mnyika
  4. Tundu Lissu
  5. Henry Kilewo
  6. Godbless Lema nk

Mkuu Lizaboni nimemwbia mtoa mada asisahau kulipongeza jeshi LA polisi litakapo endelea kufanya kazi zake bila kuogopa mtu.
 
Last edited by a moderator:
Na wewe acha ubishi wa makusudi Lol!. Wewe huoni huyo jamaa kwenye picha ni mtu hatari kwa kila binadamu? Anaweza hata kuvaa mabomu huyu. Waache wahojiwe wote na kina kinana, nape, january, mchange mwenyewe, masele, na wengine wengi tu.

Na hao polisi waliouza sare kwa Cdm na Kamhanda aliyewasimamia cdm wakimuua mwangosi.

Lakini huyu jamaa ni mwehu. Usikute ndiye mkenya wa kova.

Bado Mnyika,Lissu,Mbowe.
Name hayo Maswali wataulizwa wao.
Mchange kaenda kutoa melezo tuu!
 
Kijana jaa nying sna halafu eti vijana wanafuu kuwania urais hahahaha bado snaaa kama ndo vijana wenyewe tunatumika ka condom halafu tunapotea kisiasa bado snaaaaa
 
Ukitoa maelezo ambayo huwezi kuyathibitisha kwa kina basi kuna kila sababu ya kupandishwa kizimbani kwanza kwa uzushi na pili kupoteza muda na rasilimali chungu nzima za polisiCCM. Wakati watakaoupoteza kushughulikia uzushi wa huyu msaliti polisiCCM wangeweza kuutumia katika mambo mengine muhimu kwa mfano uchunguzi wa mabilioni ya Uswiss.

Mkuu umejuaje atashindwa kuthibitisha anayo yasema?
 
Ingekuwa wakati wa Nyerere angejua vizuri nini maana ya chombo cha dola. Siku hizi polisi imekufa toothless mtu anaropoka tu na kufanya uchochezi anaachiwa. Too much double standards. Siasa iwe mbali na usalama. Polisi fanyeniKazi.
 
Nalipongeza jeshi la Polisi Dar kwa kumkamata na kumuweka chini ya ulinzi kada wa chama cha ACT Bw.Habib Mchange, ili kuisaidia jeshi hilo juu ya tuhuma alizozitoa kwa CHADEMA.

Pamoja na mambo mengine, Mchange aulizwe maswali yafuatayo:

1.Kwa kuwa amekiri kutumiwa na CHADEMA kutekeleza mauaji mbalimbali, aseme kwa sasa huko alipo wamemtumia kufanya mauaji ya nani?

2.Kama CHADEMA walimtumia, kwanini tusiamini kuwa hata sasa anatumika kwa kuwa ameshakuwa mtu wa "kutumikatumika"?

3.Kama anakubali CHADEMA walimtumia kupanga mipango ya mauaji, mbona anakataa kuhusika na njama za kumuua Dr.Slaa zilizotolewa na madiwani wa Shinyanga?

4.Aeleze kwa kina nani alimuua Mwangosi na atoe na ushahidi wa kutosha.

5.Aeleze ni kivipi CHADEMA walivaa sare za Polisi na kutekeleza mauaji ya Mwangosi.

6.Aeleze ni Afisa gani wa Polisi aliyewapa CHADEMA hizo sare na silaha za kumuua Mwangosi, na kwanini Afisa huyo hakuchukuliwa hatua.

7.Na kama Polisi wanafanya dili ya kuwaazima CHADEMA sare zao pamoja na Silaha ili kufanya uhalifu, kwanini hakuripoti muda wote hadi alipokuja kusema leo? Miaka mitatu aliyokaa kimya haoni alichangia watanzania wengi wasio na hatia kuuawa na CHADEMA kwa kupewa sare na Polisi?

8.Kwanini hakumshauri Rais Kikwete amfukuze kazi RPC Kamuhanda? maana kwa mujibu wa maelezo yake ndiye aliyesimamia mauaji ya Mwangosi kwa kushirikiana na CHADEMA.

9.Kwa kuwa amekiri yeye ni mtu wa dili za "mauaji" aeleze alishiriki nafasi gani kutekeleza mauaji ya Mwangosi? Alisambaza silaha kwa CHADEMA? Aliwabebea CHADEMA sare za Polisi? Au mchango wake ulikua upi?

10.Mwisho, ASIPEWE DHAMANA kwa kuwa anatuhumiwa kwa kupanga mauaji ( Conspiracy to Commit Murder).

(Pichani ni Habib Mchange enzi za ujana wake).

hiyo picha ya ujana inamuonyesha kama kibaka tu wa mitaani! hata maelezo yake yamekaa kihuni tu!
 
Kuna movies CCm wanataka kuicheza sema wamekosea yani sterling mchange du yamechemka....! Chadema kuwe makini Kuna KTU kipo njiai
 
Kwenye yale mahojiano na Star Tv asubuhi kuna barua aliitoa kama ushahidi na kumtaka Mnyika aikanushe, hada mahojiano yanaisha Mnyika hakuikana kitu ambacho kinaonyesha kuwa anaitambua.
 
Ukitoa maelezo ambayo huwezi kuyathibitisha kwa kina basi kuna kila sababu ya kupandishwa kizimbani kwanza kwa uzushi na pili kupoteza muda na rasilimali chungu nzima za polisiCCM. Wakati watakaoupoteza kushughulikia uzushi wa huyu msaliti polisiCCM wangeweza kuutumia katika mambo mengine muhimu kwa mfano uchunguzi wa mabilioni ya Uswiss.
Kwa kawaida uchunguzi wa kipolisi huhusisha wote wanaotajwa kuhusika. CHADEMA mjiandae viongozi wenu kwenda kwa pilato
 
Back
Top Bottom