Shuleless
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 4,923
- 6,171
Vyotekwaiyo mchezo hapa ni kukomenti, polisi, kuzingira, gwajima, nyumba ama thread?
Vyotekwaiyo mchezo hapa ni kukomenti, polisi, kuzingira, gwajima, nyumba ama thread?
kiongozi wa dini kujihusisha ktk siasa ni jambo linalopelekea uvunjifu wa amani na umwagaji wa damu... ona sasa mpk mda huu wafuasi wa gwajima wanajua anachosema mchungaji wao ni ufunuo kutoka kwa bwana kumbe ni hila zake tu...nashauri seikali ipige marufuku viongozi wote wa dini kujihusisha ktk siasa ili kuepuka vitendo vya uvunjifu wa Amana ikiwemo ugaidisiasa imetokea kwenye DINI. Huwezi kuvitenganisha.
Gwajima alitaka kutumia madhabahu kujipendekeza kwa Magufuli, mjinga sana!
Hata baadhi ya viongozi wa dini ni mijizi pia huoni wanavyotukamua halafu wao wanaisha kama wapo mbinguni wakati hata yesu hakuwahi kuishi maisha ya kina gwajima kwa utajiri walionaoBadala ya kukamata majizi ya nchi hii, kazi kuhangaika na viongozi wa dini,
Kanisa vs Siasa. Tanzania!!!Tutaendelea kuwapa yanayojiri.
Mchezo huu hautaki hasira
=> Polisi 6 ndani ya Landcruiser wako nje ya nyumba ya Askofu Josephat Gwajima wamezingira nyumbani kwa Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Joseph Gwajima huko Salasala, jijini Dar muda huu.
Wasema wamegonga geti bila kufunguliwa.
View attachment 357102
=======
Dar es Salaam. Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Simon Sirro amesema jeshi hilo linamuhitaji Askofu Josephat Gwajima wa Kanisa la Ufufuo na Uzima kwa kuwa kuna mkanda wameupata unaosemekana ni wake ambao unazungumza maneno ya kichochezi.
Kamanda Sirro alisema: “Tumepata clip (mkanda) inayosemekama ni ya kwake. Tunamtaka athibitishe kama hayo maneno ni ya kwake. Na kama ni yeye ameyasema, anaelewa nini kuhusu kile alichokizungumza kwa sababu hayo maneno ni kichochezi. Tupo kwenye uchunguzi mama yangu.”
Jana, polisi jana walipiga kambi kwa saa saba kwenye geti la nyumba ya Askofu Josephat Gwajima wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, wakitaka kumkamata bila ya mafanikio.
Polisi hao walikuwa kama wageni wa askofu huyo wakisubiri wafunguliwe geti, kuanzia saa 3:00 asubuhi hadi saa 10:10 jioni walipoamua kuondoka wakitumia gari aina ya Toyota Landcruser lenye namba za kiraia, ambalo kwa muda wote huo lilikuwa limeegeshwa pembeni mwa geti hilo.
Chanzo: Mwananchi
Hapa kweli umenena,, Democrasia iliopo hamna mwenye kuielewa vizuri hususani sisi wananchi wa kawaida, ila viongozi ndio wanaoelewa, mm naomba viongozi wazidi kutusaidia ufafanuzi wa democrasia yetu inapo elekea kwa maana, Sijui out of this, kitafuata nini,,?? Nikilinganisha na ile speech ya Mh Zitto kable, alio mpoint Mh Raisi.Tatizo lada ni hivyo tulivyoambiwa kuwa siku hizi demokrasia imerudi nyuma miaka 50 , watu hawataki kukosolewa, kulaumiwa, kusahihishwa, kushauriwan watu hawataki kufuata taratibu sheria na wajibu baadhi ya watu wanaamini mawazo na hisia zao bila kujali au kutoa nafasi kusikiliza hoja na hisia za wengine!!!
Haitakuja itokeeJk na roho yake ya ubinadamu alimuacha akajiona yeye mwamba na kuendelea kutapika tu awekwe angalau miaka 4 ndani,ingawa nachukia udikteta ila huyu mchungaji mnafiki sana.
Yeye sio Kiongozi wa DINI ni Kiongozi wa kiROHOWacha wamkomeshe nae kazidi.hivi hapa Tanzania kiongozi wa dini ni yeye peke yake kutwa kucha yeye na siasa eboo.
Roho gani hiyo isiyotulia kazi kufitinisha watu na unafiki juu.Yeye sio Kiongozi wa DINI ni Kiongozi wa kiROHO