johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,034
Ni Katika Kanisa Kuu Katoliki Iringa mahali ambapo baba wa taifa Mwalimu Nyerere alikuwa akilala.awapo ziarani Iringa kwa Chifu Mkwawa
Baba askofu Ngalalekumtwa amewahi kuwa Rais wa TEC na ni miongoni mwa mapadre waliopata Uaskofu wakiwa na Umri mdogo
Iringa pia ndio Dayosisi ya kwanza kutoa Askofu mwenye Umri mdogo wa Kanisa la KKKT wakati wa baba askofu Mdegela
Nitaweka video clip ya baba askofu Ngalalekumtwa
Navalonge swela
Kanisa Moja Takatifu La mitume 😀
Baba askofu Ngalalekumtwa amewahi kuwa Rais wa TEC na ni miongoni mwa mapadre waliopata Uaskofu wakiwa na Umri mdogo
Iringa pia ndio Dayosisi ya kwanza kutoa Askofu mwenye Umri mdogo wa Kanisa la KKKT wakati wa baba askofu Mdegela
Nitaweka video clip ya baba askofu Ngalalekumtwa
Navalonge swela
Kanisa Moja Takatifu La mitume 😀