mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 30,703
- 37,316
kitonga yote ni kona tupu kali,kwa dereva aliyepita chuo asingekuja kulalamika hapa kwa ujinga aliofanya.Huyo polisi amekushinda sehemu moja tu. Kuovateki sehemu isiyoruhusiwa. Hayo maelezo mengine unayotoa inafaa yawafikie tanroads. Polisi yuko pale kusimamia sheria.
anataka kuhalalisha uhuni wake double standard waliyofanya polisi kwenye fuso,kitu ambacho hatuna uhakika nacho pia.