Watu kama akina Sabaya ndiyo wanafanya vijana waonekane wahuni kwenye siasa za hii nchi. Ndiyo vijana Mh Mkapa alikuwa anawazungumzia pale UDSM,kwamba wamepewa nafasi katika siasa ila michango yao ni ovyo kabisaHUYU NAE ANASUBIRIA CHUMA KIMNGOE TULIA TU
#NAJUAUMENISIFIASANAKWAHILIHAPANAA
KUNAMTU AKISIKIA HAYAMANENO MWILI UNAACHANA NA #ROHOKWAMUDAOOH
Anatafuta kujua kama nae ni toto pendwa!Nadhani mh rais ameliona hili jambo maana kweli huyu Sabaya amefanya udhalilishaji kwa hao wafanya biashara na hujuma pia kwa biashara zao
Sent using Jamii Forums mobile app
Anatafuta kujua kama nae ni toto pendwa!
Hata ukijipendekeza hatuna nafasi tena ya kukutafutia uteuziPole sana, tukupeleke wodi gani??
Muda mwingine mtu unaweza kukaa na kifikiria mtu kama huyu alipataje madaraka akiwa na kashfa ya kufoji kama hivi!!View attachment 1333029
Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
RPC kachemka kujibu .
Shirika la reli.ndio lilitakiwa kutoa tamko sio yeye.
Ole Sabaya alikua analazimisha hao wamiliki wa mabasi wampe pesa kama anavyofanya Bashite, walivyomkatalia kumpa pesa ndiyo akawa anajaribu kuwabambikia kesi ya uhujumu wa reli.
ni nani anayehusika na usimamizi wa usalama kwenye eneo husika??
Ni shirika la reli ndiyo linafanya uchunguzi juu ya uhalifu???
Nasisitiza, rudi shule mdogo wangu
Shirika la reli ndio Wenye Mali ndio wanajua wameibiwa au miundombinu yao kuharibiwa sio polisi
Mkuu wa wilaya aliongea kwa ushahidi akiwa na wafanyakazi wa shirika la reli site .hakuongelea ofisini.Walikuwepo na watu wa shirika la reli.
RPC kachemka angesukumia hilo kwa viongozi wa shirika la reli watoe majibu na sio yeye
Mali zote za shirika la reli zote zimeandikwa shirika la reli hazijaandikwa shirika la umma
Wote hawaamiki, kiasi ambacho simuamini sabaya ndicho kiasi ambacho jeshi la Polisi siliamini.Kwa maana hiyo unataka kusema RPC kasema uhongo Sabaya ndo alisema Ukweli.
Kweli?? Huoni watu wakipelekwa ubalozi?? Waijua ilim yangu??
Kweli?? Huoni watu wakipelekwa ubalozi?? Waijua ilim yangu??
Hivi wewe unatumiaga akili kweli?Mali zote za shirika la reli zote zimeandikwa shirika la reli hazijaandikwa shirika la umma