Watu kama akina Sabaya ndiyo wanafanya vijana waonekane wahuni kwenye siasa za hii nchi. Ndiyo vijana Mh Mkapa alikuwa anawazungumzia pale UDSM,kwamba wamepewa nafasi katika siasa ila michango yao ni ovyo kabisaHUYU NAE ANASUBIRIA CHUMA KIMNGOE TULIA TU
#NAJUAUMENISIFIASANAKWAHILIHAPANAA
KUNAMTU AKISIKIA HAYAMANENO MWILI UNAACHANA NA #ROHOKWAMUDAOOH