Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
- Thread starter
- #21
Kiongozi mwenye dhamana anapotoa kauli za uongo kwa kosa la hujuma sheria zinasemaje ama mamlaka za uteuziKama ilivyoripotiwa na mkuu wa Wilaya ya Hai, Ole Sabaya kuwahusisha wafanyabiashara wa mabasi siku chache zilizopita, uchunguzi umebainisha taarifa za Mkuu wa Wilaya hazikuwa na Ukweli.
My take ; Ole Sabaya unapaswa kuomba msamaha na kuwalipa faini uliowatuhumu
Chanzo: ITV
Maswali muhimu ya kujiuliza
Kutokana na hili maswali ni
Je, anafanya haya kwa lengo gani?
Ni mambo haya haya ya siasa?
Haya anayooneshaga runingani kuhusiana na taarifa za aina hizi nayo ni uongo?
Kutokana na hili tu, hapaswi kuwajibika?
Tunataka viongozi wa kutuletea maendeleo na si wenye lengo la kukomoa na kuumiza wananchi.
Wafanya biashara wa mabasi unganeni
Nadhani mh rais ameliona hili jambo maana kweli huyu Sabaya amefanya udhalilishaji kwa hao wafanya biashara na hujuma pia kwa biashara zao
Sent using Jamii Forums mobile app
Kachukua tabia za baba yake ndie mwalimu wake wa siasa chafu keshawahi chomea wananchi nyumbaSabaya kimaisha ni kijana mdogo Sana hata kiumri ni mdogo sana na hata kuoa hajaoa na Hana familia means Hana mshauri wa ndani wa kumshauri.anaamkia bar anakwenda ofisini akiwa na kilevi Cha Jana kichwani.siku anatangaza Mambo ya reli alikuwa mahali anakunywa konyangi akakurupuka kwenda site akiwa mlevi.ikifika jioni gari lake la kiofisi linampeleka pale njia panda ya Kia wanakuja wahuni wengine na gari binafsi kumpokea na kumpeleka Arusha kesho yake wahuni hao hao wanamrudisha njia panda ya Kia Kama Jana yake, Sasa chama na serikali na wananchi tutambue sabaya ni mtu wa namna gani .vinginevyo tutaumiza vichwa vyetu bure.ila DC wa Hai anatakiwa awekwe kwenye kipindi Cha uangalizi kabla ya uchaguzi mkuu October 2020, vinginevyo hatakivusha chama Cha mapinduzi salama.
Ndo maana wenzetu ukiwa masikini upewi madaraka utalimbukaKULIKUWA NA DC MMOJA TARIME ALIKUWA NA AKILI KAMA ZAKE
ALIFANIKIWA KUHADAA BAADHI YA WAKUU
IKIFIKA ANAJISIA ANAKUJA AMA KYKUITA OFISINI NATAKA MIL 5 NTAKA 3. ..WAKAMCHOKA OOH AKAJAA KWA JAMA MMOJA AKAMCHOMOLEA
AAKUJUA WASHATUMWA WATU KUMCHUNGUZA GAFLA KASHFA KUNA PESA ZA MIGODI GAWIO KALAMBA KADHAA MARA PYUU
JAMAA ALIKUWA AKIKAA BAR ANAWEKA BASTOLA MEZANI AKILEWA ANAJIITA MM NDIE RAISI WA TARIME NIKIAMUA UNAHAMA UNAHAMA MKOA WANGU DAH....
VINCHENCHEDE VILIPATA SHIDA SANA
NOW NEARLY SAD UMWANGALII MARAMBILI UKIMWONA
NO LONGER N D POSN
MUNGU AKIWAPAA NAFASI HASA VIJANA OMBENI HEKIMA KWA MUNGU MTANGULIZENI MUNGU
Huyu DC ana matatizo.. Sijui Mh. Rais haoni matatizo yake au?? Hili sio tukio la kwanza la huyu jamaa. Yapo mengi ya aibu lakini hatuoni akichukuliwa hatua
Hao wanna kinga ya kutumbuliwa wamewekwa kuipa ccm ushindi kwa gharama yeyetoNadhani mh rais ameliona hili jambo maana kweli huyu Sabaya amefanya udhalilishaji kwa hao wafanya biashara na hujuma pia kwa biashara zao
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kwa awamu hii wale ni watoto Wa babaKwa kauli ya RPC kilimanjaro,inatakiwa DC wilaya ya Hai awajibike kwa kujiuzulu Mara moja. Ikiwa ni pamoja na kushitakiwa na kuwalipa wafanyabiashara aliowaharibia na kuwachafua fidia.
Alishatamka na clip IPO, kuwa anatumia Makonda style!Anamuiga bashite jinsi ya kuvuta
Kuwatengenezea kesi wafanyabiashara ili wavute rejea ishu ya list feki ya poda nani yuko ndani kwa list ile?
Ndio ule msemo "ukicheka na mbwa atakufuata hadi msikitini". Huyu dogo anaharibu kila uchwao anachekewa tu. Naona hadi siku alete kilio kizito kwa jamii au serikali ndio JPM ataamka kuhusu huyu dogo. Utamu wa kumhujumu Mbowe umemnogea. Dogo anapenda blackmailing so probably wale wenye mabasi walikataa kumpa pesa akataka kuwabambikia hii issue
Hao wanna kinga ya kutumbuliwa wamewekwa kuipa ccm ushindi kwa gharama yeyeto