Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,468
- 113,583
Dada Mwajei, usiamini kila kinachoandikwa na waandishi kuwa ni kweli, ningekuwa mimi ndio mhariri wa Tanzania Daima, nisingeruhusu kauli hiyo kwenye gazeti langu bila uthibitisho!. Ukisikia habari za uzushi ndizo hizo!. Hakuna mtu mwenye akili timamu, anaweza kuamini uzushi huo, eti Jeshi la polisi, limewachukua vijana wahuni wa mitaani na kuwavisha sare za polisi na kuwapa silaha ili waidhibiti Chadema!, that is too cheap!. Ni vitu vido vidogo kama hivi, vinaiweka credibility ya Tanzania Daima kwenye mizani!.Kama jeshi limefikia hatua ya kuvisha wahuni uniforms ili tu kuidhibiti chadema basi kazi ipo.
Pasco.