Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Wana JF.
Polisi mkoani Lindi wakishirikiana na kitengo cha madawa ya kulevya, wamewakamata watu wanne raia wa Tanzania..
Wanaume wawili na wanawake wawili mmoja ni mtoto wa Liyumba, wakiwa na madumu sita yakiwa yameifadhiwa madawa ya kulevya zaidi kilo 200 yenye thamani ya bilioni 6.13 yakielekea nchi za kusini.
Serikali yetu ipo wapi Tanzania imekuwa njia kubwa ya kupitishia madawa ya kulevya.
SOURCE: TBC1 HABARI.
Polisi mkoani Lindi wakishirikiana na kitengo cha madawa ya kulevya, wamewakamata watu wanne raia wa Tanzania..
Wanaume wawili na wanawake wawili mmoja ni mtoto wa Liyumba, wakiwa na madumu sita yakiwa yameifadhiwa madawa ya kulevya zaidi kilo 200 yenye thamani ya bilioni 6.13 yakielekea nchi za kusini.
Serikali yetu ipo wapi Tanzania imekuwa njia kubwa ya kupitishia madawa ya kulevya.
SOURCE: TBC1 HABARI.