cjilo
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 884
- 444
- Thread starter
- #21
Saed Mwema katika hili nalo kazi itakua ni muomba radhi na watu kusahau sio? Tunajenga uhusiano wa aina gani kati ya polisi na raia hivi sasa???
Je wale vijana walioona kijana mwenzao akichukuliwa pale walikokua wanacheza pool na jinsi gani kupatwa na mauti kinyama kiasi hicho mbele ya macho yao hadi hapo Waziri Nahodha utakua unaona kitu gani kitakachofuatia hapo kote nchini??????
Wanaharakati nchini, enyi walinzi wa haki za binadamu mko wapi wakati haya yote yakiendelea kuwakumba wananchi kila kona ya nchi kila kukicha?
nafikiri wananchi tuchukue hatua sasa kama watu wa kutulinda ndo wanatuua . basi nasi tuunganishe nguvu kwa pamoja