kweli kabisa MkuuMange kama biashara haramu, hakuna anaekiri kuitumia hadharani ila ikiingia sokoni inaisha faster. Ndio kama watu humu na twitter wanavyoigiza, anakuambia hana time nae ila habari za page na app yake anazijua.. Sijui Watu mtaacha lini unafki
Mange kukwambia mgonjwa atafariki elewa amepewa taarifa na wauguzi wakiona mabadiriko ya mgonjwa. Na usitegemee atoe taarifa ya informer wake. Police wamekosa ushahidi kwa walio waweka ndani, lakini kuingia ni bure, kutoka...Aseme ni nani alimtumia video ya Prof jay. Anachofanya mange ni kutafuta sympathy ili aliyechukua video yaa Prof ja asijulikane. Mange ni mpuuzi kama wapuuzi wengine.
Wiki iliyopita akiandika Prof J muda wowote anafariki. Sasa mtu Kama huyo unaona ana akili kwel?
We si ulikuwaga mfuasi wa da mange lakini?Hakika.
In your dreams.We si ulikuwaga mfuasi wa da mange lakini?
Hilo sakata la polisi kuomba rushwa sio geni, sasa waliwakamata wafanyakazi wa Mange na 13 , lakini 11 waliachiwa hawa 2 bado hawajaachiwa nadhani ifikie hatua polisi wajitambue na wanapoomba rushwa ya milioni 10 kwa mange walijua hatosema kweli kwa akili zao.
View attachment 2169654
Kama wameshindwa kupata ushahidi kwa issue kama hiyo ya Mange je mengine itakuaje kila siku tunasema polisi ifumuliwe bado haina weledi wa kwenda na dunia ya sasa.
hivi wewe unawajua askali wa bongo wewe? naona huwajui vizuri, sishangai kuomba rushwa hawa jamaa, hawa wanaweza kuomba rushwa hata kwa waziri wa mambo ya ndani, askari wa bongo ni wa aina yakeMtu anayemuamini mange ni kichaa
Mwisho wa siku hakuna mtu yoyote anefanya kosa alafu akakamatwa akakubali kiurahisi kwamba ametenda kosa hivyo ni jukumu la police kudhibitisha pasipo shaka kwamba kuna kosa limetendeka pasipo kutumia nguvu bali weledi wa kimtandaoAseme ni nani alimtumia video ya Prof jay. Anachofanya mange ni kutafuta sympathy ili aliyechukua video yaa Prof ja asijulikane. Mange ni mpuuzi kama wapuuzi wengine.
Wiki iliyopita akiandika Prof J muda wowote anafariki. Sasa mtu Kama huyo unaona ana akili kwel?
imagine, watu wanafki sana, page yake wanachungulia kila saa, na hiyo app yake wanayo ila wakija humu wanamakasiriko eti hawamuamini wala hawamfatilii hahaMange kama biashara haramu, hakuna anaekiri kuitumia hadharani ila ikiingia sokoni inaisha faster. Ndio kama watu humu na twitter wanavyoigiza, anakuambia hana time nae ila habari za page na app yake anazijua.. Sijui Watu mtaacha lini unafki
Kati ya mange na polisi failure Nani anapaswa kuaminiwaMtu anayemuamini mange ni kichaa
Wanalinda brand za kuonekana great thinkers 🤷♂️imagine, watu wanafki sana, page yake wanachungulia kila saa, na hiyo app yake wanayo ila wakija humu wanamakasiriko eti hawamuamini wala hawamfatilii haha
Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
Kati ya mange na polisi failure Nani anapaswa kuaminiwa
hivi wewe unawajua askali wa bongo wewe? naona huwajui vizuri, sishangai kuomba rushwa hawa jamaa, hawa wanaweza kuomba rushwa hata kwa waziri wa mambo ya ndani, askari wa bongo ni wa aina yake