ZEE BABA
Senior Member
- Jan 19, 2011
- 169
- 59
Jamani naomba tusaidiane hili swala,Ukienda uwanja wa taifa Polisi wanakushawishi kutoa chochote ili ukakae sehemu utakayo,Mfano jana wakati wa mechi ya STAZ NA DRC tiketi nyingi zilizouzwa zilikuwa za elfu 2 lakini cha ajabu VIP C ilijaa na huko kwenye tiketi za buku 2 kulipwaya.Huu utaratibu upo siku zote pale TAIFA sijui tutafika wapi na mambo haya.Usishangae ukakata VIP A kwa elfu 30 na mwenzako akakata ya elfu 5 kisha mkakaa wote sehemu moja....