1979Magufuli
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 439
- 1,756
Mm nna uzoefu na uwanja wa mkapa, sana tena, hiki nachokiandika nimewahi kukutana nacho mara tatu, umekata tiketi ya shs 20,000/= unaenda uwanjani saa 9 unakuta VIP B imejaa na huna siti ya kukaa.
Kitendo cha kufungua mageti saa 2 ni kizuri lakini nna uhakika wahuni wengi wataingia kwa shs 3000 had shs 2000, wakifika ndani wanacheza mchezo wa kutoa elfu 3 wanaenda mahali ambako sio siti zao.
Ukweli ni kuwa siti za VIP B na C zinakaliwa na wahuni ambao hawakukata tiketi, nimelalamikia sana jambo hilo lakini hadi Leo nimedharauliwa.Kama nadanganya nendeni kwenye siti za VIP B na C mtaona watu wachafu, wamevaa kandambili lakini wamezamia kwenye majukwaa yasio ya status zao.
Kama wewe ni mshabiki umekata tiketi ya maeneo ya VIP B na C na hadi sasa hujaenda uwanjani, ujue umekwisha.Ikifika saa 10 hakuna siti tena
Kitendo cha kufungua mageti saa 2 ni kizuri lakini nna uhakika wahuni wengi wataingia kwa shs 3000 had shs 2000, wakifika ndani wanacheza mchezo wa kutoa elfu 3 wanaenda mahali ambako sio siti zao.
Ukweli ni kuwa siti za VIP B na C zinakaliwa na wahuni ambao hawakukata tiketi, nimelalamikia sana jambo hilo lakini hadi Leo nimedharauliwa.Kama nadanganya nendeni kwenye siti za VIP B na C mtaona watu wachafu, wamevaa kandambili lakini wamezamia kwenye majukwaa yasio ya status zao.
Kama wewe ni mshabiki umekata tiketi ya maeneo ya VIP B na C na hadi sasa hujaenda uwanjani, ujue umekwisha.Ikifika saa 10 hakuna siti tena