Hii hali ya polisi kutengwa hata mtwara ipo,polisi hapati chumba au nyumba uswahilini.nawapa pole sana polisi wapo katika mtego mbaya
Nadhani PK Pinda alipo agiza wapige na kuua alisahau sana kwamba hao wanaoagizwa kupiga na kuua tuko nao mtaani! Pengine ni jambo jema ili nao askari wanapo agizwa kufanya ufirauni wachanganye na za kwao!