Tunajua njama zote zinazofanywa na wenye mamlaka fake kuwatumia polisi. Na polisi walivyo wajinga wanaingia mkenge.
Tuko kwenye point of no return. Mpende msipende tunakwenda kuikomboa nchi yetu. Mkiendelea kutumika wengi sana mtapoteza kazi zenu, mtafungwa, mtanyongwa na familia zenu zitaishi maisha ya taabu sana.
Huu ni wakati wa kuungana na wananchi. Lakini mkishupaza shingo mtavunjika na hakuna mtu atakaye waponya
Tuko kwenye point of no return. Mpende msipende tunakwenda kuikomboa nchi yetu. Mkiendelea kutumika wengi sana mtapoteza kazi zenu, mtafungwa, mtanyongwa na familia zenu zitaishi maisha ya taabu sana.
Huu ni wakati wa kuungana na wananchi. Lakini mkishupaza shingo mtavunjika na hakuna mtu atakaye waponya