Polisi Tanzania mna shida gani?

Polisi Tanzania mna shida gani?

Agent-47

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2014
Posts
783
Reaction score
2,780
Hawa jamaa wanashangaza sana.

Juzi walitoa tamko ya kuwa wanapiga marufuku maandamano kwa sababu walioyapanga hawako nchini.

Wakati huo huo wanatangaza kukamata vijana kadhaa kwa kuratibu maandamano.

Mnataka wahusika wawe nchini ili kusudi mtoe kibali wakati huo huo walioko nchini mnawakamata?
 
When_the_looting_starts,_the_shooting_starts
 
‎Wanachofeli Gen Z.

‎1.Kupata silaha za moto hapa mtakuwa mmemaliza mzizi wa fitina na hili litakokea kama kutakuwa na mgawanyiko jeshini na WA kina tesha watokee wagawie wananchi silaha.

‎2.choma majengo yote ya wizara,hifadhi,migodi,Kambi za jeshi,CCP,bandari,Ikulu zote,vituo vikuu vya Kila mkoa.kimara pale choma mitambo yote ya Tanesco choma mawasiliano Treni ya umeme piga kiberiti ,
‎Ma generator ya bwawa la Nyerere piga kiberiti ,

‎3.mimi nikishapata AK 47,72au 102 na SMG namalisha ishu zote
 
Back
Top Bottom