Polisi, niko kwenye mfungo

kwa tafsiri nyepesi makafir ni watu wasioamini/kuabudu unachoamini/abudu wewe..so in reality mlipua mabomu akikuona wewe mkristo ni ------ kwa upande mwingine naye ni ------ from your point of view



Nilichokuwa nataka mimi hapo kwenye wekundu tu huko kwingine sina haja nako.

Swali lingine nataka kuelewa ili usiwe ----- unatakiwa kuamini/kuabudu nini?

Pia unaweza kunisaidia hii tafsiri ya neno ----- umeitoa wapi au umesoma wapi au kitabu kipi?

NB: Naomba majibu kama swali linazyouliza bila maelezo kwenye majibu kama ulivyofanya kwenye jibu ya swali la mwanzo.

Ahsante sana.
 

Nilichokuwa nataka mimi hapo kwenye wekundu tu huko kwingine sina haja nako.

Swali lingine nataka kuelewa ili usiwe ----- unatakiwa kuamini/kuabudu nini?

Pia unaweza kunisaidia hii tafsiri ya neno ----- umeitoa wapi au umesoma wapi au kitabu kipi?

NB: Naomba majibu kama swali linazyouliza bila maelezo kwenye majibu kama ulivyofanya kwenye jibu ya swali la mwanzo.

Ahsante sana.


okey ndugu..nikitaka kukujibu subjectively ni kwamba kama A anaamini kuwa mwezi ndo mungu wake na B anaamini farasi ndo mungu wake basi A atamuona B kuwa ni "------" na kinyume chake

ili usiwe kaffir kwa mtazamo wa A inabidi uamini kama anavyoamini yeye kuwa mwezi ni mungu wa kweli na ili B asikuchukulie kuwa kaffir utapaswa kuamini kuwa farasi ndo mungu wa kweli

"------" ni neno linalochimbuka kwenye neno la kiarabu "kaffir"....maana nyepesi ni "asiyeamini" au "non-beliver" Waisrael waliita Gentiles yaani watu wa mataifa mengine wasiomuabudu Yehova..kwa hiyo tafsiri unaipata pale unapoangalia neno "kaffir" kwa lugha nyingine litaitwa nini
 
okey ndugu..nikitaka kukujibu subjectively ni kwamba kama A anaamini kuwa mwezi ndo mungu wake na B anaamini farasi ndo mungu wake basi A atamuona B kuwa ni "------" na kinyume chake

ili usiwe kaffir kwa mtazamo wa A inabidi uamini kama anavyoamini yeye kuwa mwezi ni mungu wa kweli na ili B asikuchukulie kuwa kaffir utapaswa kuamini kuwa farasi ndo mungu wa kweli

"------" ni neno linalochimbuka kwenye neno la kiarabu "kaffir"....maana nyepesi ni "asiyeamini" au "non-beliver" Waisrael waliita Gentiles yaani watu wa mataifa mengine wasiomuabudu Yehova..kwa hiyo tafsiri unaipata pale unapoangalia neno "kaffir" kwa lugha nyingine litaitwa nini

Kwa maelezo yako yote la msingi hapo ni kuwa maana halisi ya kaffir ni asiyeamini.

Sasa kwanini anayeamini tofauti na wewe umwite kaffir wakati yeye tayari ana imani yake?
 
Kwa maelezo yako yote la msingi hapo ni kuwa maana halisi ya kaffir ni asiyeamini.

Sasa kwanini anayeamini tofauti na wewe umwite kaffir wakati yeye tayari ana imani yake?

hutakiwi kumuita kaffir...ila akikuita kaffir ni halali na wewe kumuita kaffir...tatizo linaanza pale mmoja anapomuita mwenzake kaffir
 
Kwa maelezo yako yote la msingi hapo ni kuwa maana halisi ya kaffir ni asiyeamini.

Sasa kwanini anayeamini tofauti na wewe umwite kaffir wakati yeye tayari ana imani yake?


then usiwe unauliza maswali ambaye huitaji majibu yake...rejea post yako inayouliza ili usiwe kaffir unatakiwa kuabudu nini, na tafsiri ya neno inatoka wapi/inapatikana wapi/nimeisoma wapi?
 
Kaffir ni MTU asiefuata misingi ya dini ya kiislam. Hivyo wakristo wote ni makafiri na watu wengine wote ambao hawafuati misingi ya dini ya kiislam ni makafiri.
 
Acha utani...huyo wa kwenye picha anaonekana wazi yupo below 50 yrs of age

kwa hiyo pamoja na fox kutukuza kila kitu kilicho na mguso wa Uarabu na Uislam still anajua kuwa sehemu bora za kuishi sio Uarabuni???
My friend Capt Nemo. Angalia hapo nilipobold na kwa kuwa wewe ni muelewa, nakupa analogy ifuatayo:Binadamu wengi wana tabia za kenge za kuchukia na kuikimbia mvua na kwenda kujificha mtoni!
 
Last edited by a moderator:
Kaffir ni MTU asiefuata misingi ya dini ya kiislam. Hivyo wakristo wote ni makafiri na watu wengine wote ambao hawafuati misingi ya dini ya kiislam ni makafiri.
likew

Likewise, mtu yeyote asiyeamini na kufuata misingi ya ukristo ni kaffir, hivyo waislam wote ni makaffir na wengine wote wasio wakristo..all square, uh uh???
 
Back
Top Bottom