greater than
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 813
- 1,263
Mwaka huu umekuwa na baraka ya kipekee, Vipindi vikuu vya kusafisha na kutakasa nafsi na roho zetu ,vimeangukia katika mwezi.
Lakini ndugu waumini wa hizi dini kubwa mbili (Ukristo na Uislam),kuna mambo kadha naomba kila mmoja wetu ajiulize na kutafakari.
1.Je, unaelewa kiundani maana ya mfungo,au unafuata kama desturi ?
2.Je,ushakaa na kutafakari juu ya yale maouvu uliyotenda.
3.Je,una timiza sala/swala zote muhimu katika mfungo,bila kutega ama chelewa?
4.Je,umesamehe ndugu,Jirani au rafiki aliyekutendea uovu kwa kukuibia, kukuzushia uongo,kukudhuru, kukusaliti kwenye ndoa,au Mungu akusamehe wewe tu.?
5.Je,umeshiriki kufanya tendo lolote la Huruma ?
-Hata kumpelekea yako chakula
6.Je,kwenye mda wa kula, unajifungia ndani , ?
7. Je,umekaa na kutafakari ni mambo mangapi Mungu alikubariki na alifanya ufanikiwe ?
Lakini ndugu waumini wa hizi dini kubwa mbili (Ukristo na Uislam),kuna mambo kadha naomba kila mmoja wetu ajiulize na kutafakari.
1.Je, unaelewa kiundani maana ya mfungo,au unafuata kama desturi ?
2.Je,ushakaa na kutafakari juu ya yale maouvu uliyotenda.
3.Je,una timiza sala/swala zote muhimu katika mfungo,bila kutega ama chelewa?
4.Je,umesamehe ndugu,Jirani au rafiki aliyekutendea uovu kwa kukuibia, kukuzushia uongo,kukudhuru, kukusaliti kwenye ndoa,au Mungu akusamehe wewe tu.?
5.Je,umeshiriki kufanya tendo lolote la Huruma ?
-Hata kumpelekea yako chakula
6.Je,kwenye mda wa kula, unajifungia ndani , ?
7. Je,umekaa na kutafakari ni mambo mangapi Mungu alikubariki na alifanya ufanikiwe ?