Polisi na Wamachinga!!

Sizinga

Platinum Member
Oct 30, 2007
9,100
6,022
Kulikuwa na operation ya kufukuza machinga jijini!! Wakadakwa Chinga wote!! Sasa Polisi watajuaje huyu ni chinga!!
Fuatilia...:

Polisi: Sema msumari??
Chinga 1: Mchumari...kaa kando!!

Polisi: Sema msumari??
Chinga 2: Mchumari...kaa kando!!

Polisi: Sema msumari??
Chinga 3: Mmmm..Mmmm..Mmmh
Polisi: Aaagf huyu bubu mtoeni hapa!!

Ile chinga anatoka amejua kanusirika, akaropoka ''Achanteni''....Polisi akatahamaki haa!! mrudisheni huyo ..akakaa kando nae!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom