Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
Ndugu zetu polisi wanatabia ya kuwanyanyasa wananchi, hata sasa hivi watu wanapokufa muhimbili, wao wanazuia maandamano. Sijui ni kwa maanufaa ya nani wakati ni ndugu zao pia wanaokufa mahospitalini. Kwanza maisha mnayoishi ni ya kusikitisha. Fikirieni Tanzania mtakayowaachia watoto wenu. Msikubali kutumika kwa kuwaua ndugu zenu wanatafuta haki kwa wote. Hao viongozi ni wa muda tu, Tanzania itabaki pale pale
Muigeni Mama Hellen Kijo- Bisimba aliyewaonyesheeni Njia kwa kuwa tayari kufa kwa ajili ya nchi yake. Badilikeni, siku yenu ya kufa ikifika hakuna hata kiongozi mmoja wa CCM atakaye kuja kwenye mazishi yenu. Hacheni mambo ya unyanyasaji, Wakumbukeni wana libya, Misri pamoja na Tunisia.......
Muigeni Mama Hellen Kijo- Bisimba aliyewaonyesheeni Njia kwa kuwa tayari kufa kwa ajili ya nchi yake. Badilikeni, siku yenu ya kufa ikifika hakuna hata kiongozi mmoja wa CCM atakaye kuja kwenye mazishi yenu. Hacheni mambo ya unyanyasaji, Wakumbukeni wana libya, Misri pamoja na Tunisia.......