Mr Miller
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 11,445
- 25,727
hahaha tutakohoa humo humo kwenye gariMimi naona watupatie tu magari kwakweli
hahaha tutakohoa humo humo kwenye gariMimi naona watupatie tu magari kwakweli
Hahaaaa. Ndio.Hahaaahaa! Eti shingo feni.
Sasa hapo itabidi kauli ya kamanda ifuatwehahaha tutakohoa humo humo kwenye gari
ana matatizo kamanda wenuSasa hapo itabidi kauli ya kamanda ifuatwe
Hakuna namna
kama nakuona unavyoona chura inapita...alafu unajitahidi mwenyewe kubana koo ili usikooeana matatizo kamanda wenu
tii sheria bila shultaKama mada inavyojieleza
Kamanda mmoja wa polisi amesema ni marufuku kukohoa pale unapopishana au unapomwona mdada/mwanamke mwenye makalio makubwa
Kamanda huyo amesisitiza kwamba kukohoa huko kutapelekea kukamatwa kwa maana kitendo hicho ni "Shambulio la aibu"
Chanzo:video mtandaoni nimeshindwa kuiupload hapa
sikohoagi kwanza mm nikiangalia mbele nimeangalia mbele basi.kama nakuona unavyoona chura inapita...alafu unajitahidi mwenyewe kubana koo ili usikooe
Aiseee..weh kibokosikohoagi kwanza mm nikiangalia mbele nimeangalia mbele basi.
kichwa kina mambo mengi hiki....kuanza kugeuka hapanaAiseee..weh kiboko