Polisi: Lissu hatoki

ni vyema akasema anachotaka! anataka kugombea 2020 au ni nini? ni kama vile anatumika na watu fulani kinyume na maslai ya watanzania
asidanganyike na comments za watu wachache humu jf, mtaani watu hawamuelewi especially hio speech yake ya mwisho
Labda mtaa wa Lumumba ndio hawamuelewi lakini mungu amemjaalia Lissu kuyaongelea yale yanayowagusa watanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda mtaa wa Lumumba ndio hawamuelewi lakini mungu amemjaalia Lissu kuyaongelea yale yanayowagusa watanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
ooho kama ni mungu kamjaalia ndio maana haeleweki, ila ingekuwa ni Mungu aliemjaalia angeeleweka na wote hadi hao wa lumumba
jf inawakilisha % ndogo sana ya watanzania, msijidanganye na comments zenu hapa, reality huko nje ni tofauti kabisa
 
ooho kama ni mungu kamjaalia ndio maana haeleweki, ila ingekuwa ni Mungu aliemjaalia angeeleweka na wote hadi hao wa lumumba
jf inawakilisha % ndogo sana ya watanzania, msijidanganye na comments zenu hapa, reality huko nje ni tofauti kabisa
Na kuna wanaopingana na matakwa ya Mungu tangu dunia imeumbwa na bado wapo. Vyeo vya duniani na mamlaka uwajengea KIBURI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe kuwa kitaani na kulala kwako.umshukuru lisu uvumilivu wake na viongozi wa upinzani.ipo siku utaelewa.
Lisu kama yesu kwa wayahudi.hawakumuelewa mpaka alipo ondoka.ni wachache tuna muelewa lisu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli wewe utazidi kuwa mjinga yani Lissu tumwelewe kma Yesu, unahtaji maombi, usilinganishe mambo ya Mungu na haya ya kidunia, Yesu hana wakulinganishwa naye
 
Kubenea hana janja ya kujificha porini wala ya kuvamia usiku hivyo hana pa kwenda kwa hiyo Tanzania ni ndogo kwake tofauti na wale jamaa
 
Shukrani sana Mkuu, Watanzania wengi wanamuelewa sana Lissu na wanamuunga mkono kwa kumwambia ukweli huyu janga kubwa la Taifa dikteta uchwara.

Labda mtaa wa Lumumba ndio hawamuelewi lakini mungu amemjaalia Lissu kuyaongelea yale yanayowagusa watanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwalimu alituachia wosia kwamba tusimuogope yule anayetaka kuongoza nchi huku akidharau katiba ya nchi. Kwa kumuogopa huyo asiyestahili kuongoza nchi na asiye na sifa hata chembe ya kuongoza nchi tutatawaliwa na dikteta. Udikteta uchwara marufuku Tanzania.

[HASHTAG]#lissuthegreat2020[/HASHTAG]

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…