Polisi: Lissu hatoki

Lissu sio mpumbavu kama unavyoandika hapo. Lissu ni kiongozi wa watu hivyo kumwita mpumbavu unamaanisha hata hao anao waongoza ni wapumbavu pia. Please futa kauli hiyo ili usiharibu mjadala kwa yatakayo fuata baada ya kauli yako hiyo.
 

Very reasoned analysis.
 
Mkuu usicheze na maagizo toka juu. Inalazimu uweke akili pembeni sheria pembeni na hata katiba ujifanye haipo.
Mkuu sina tatizo na mashtaka wala kushikiliwa kwa mtu.

Ninawasi wasi na kauli za Polisi. Kamanda anaposema ' wanatumia ubunge kama chaka' tayari ameshaondoka katika mstari. Mhalifu hana cheo, wadhifa au muamana, ni mhalifu tu
Kusema wanatumia Ubunge tayari ni kumtengenezea shtaka la kuwa Mbunge
Kulikuwa na ulazima wa kusema hayo?

Kusema '...kama chaka la uhalifu' kamanda keshatoa hukumu. Je, ndivyo sheria inavyosema?

Kumshikilia mtu kabla ya upelelezi haujakamilika inatia shaka. Ipo siku nitawaambia Polisi Dogos amevunja duka jana. Siku hiyo ukakamatwa.

Upepelezi ukikamilika inagundulika kuwa aliyevunja duka ni Douglas anayevaa shati la kijani kama Dogos.

Utakuwa umelala korokoroni na uhuru wako umechukuliwa bila sababu

Hivi tunaweka mkokoteni mbele ya farasi au nyuma ya farasi?

Polisi wanaweza kufuata maagizo kutoka juu, lakini basi wakishapewa wajiepusha na kauli zinazowajengea sura na taswira tofauti
 
Lissu sio mpumbavu kama unavyoandika hapo. Lissu ni kiongozi wa watu hivyo kumwita mpumbavu unamaanisha hata hao anao waongoza ni wapumbavu pia. Please futa kauli hiyo ili usiharibu mjadala kwa yatakayo fuata baada ya kauli yako hiyo.

Nope.

Sifuti ng'o.

Sifuti kwa sababu nipo sahihi.
 
Hili hitimisho lako kwamba Lissu haijulikani anafanya yote hayo kwa maslahi ya kitu gani ni potofu halina mashiko. Labda wewe kwa akili yako finyu ndiye humuelewi Lissu anachokifanya anakifanya kwa maslahi ya kitu gani lakini wako Watanzania chungu nzima ambao wanamuelewa sana Lissu anachokifanya anakifanya kwa maslahi gani na wanamuunga mkono kwa 110%.

Tatizo lissu haijulikani anafanya yote hayo kwa maslahi ya kitu gani!!
Nawasilisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi nilidhani ikulu ikanushe kuwa hatumii mabavu kujenga chato na aliowataja hawatoki kanda ya ziwa.....
Hawa mbwa ccm badala ya kujenga viwanda wanapambana na wapoinzani ambao ndo wazalendo halisi wa hii nchi huku ccm wakiwa marafikiwa wazungu kwa kusainiana mikataba isiyokuwa na tija yoyote kwa taifa
 
ni vyema akasema anachotaka! anataka kugombea 2020 au ni nini? ni kama vile anatumika na watu fulani kinyume na maslai ya watanzania
asidanganyike na comments za watu wachache humu jf, mtaani watu hawamuelewi especially hio speech yake ya mwisho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…