Siku hizi ukitoa maoni tofauti wewe in mchochezi, Hivi sasa kuna kampeni ya yule mwanadamu abakie nafasi ile, Waanzilishi wa kampeni ile hadi sasa hawajakamatwa kwa kuchochea yule mwanadamu abakie nafasi ile, Na ikitokea na wewe ukaanzisha kampeni ya yule mwanadamu aondoke haraka kwenye nafasi ile nakuhakikishia siku hiyo hiyo utadakwa na utaitwa mchochezi!!! UNAFIKI ni kitu kibaya sana.UNAFIKI haukuwahi kumuacha MTU salama kwenye ile Nchi ya Tumaini hewa.