Khakha
JF-Expert Member
- Jul 15, 2009
- 2,982
- 1,009
mkuu jackbaur policcm watakuja early in the morning. machinga wajimobilize wakeshe hapo. km eneo lilitengwa for them na likauzwa kifisadi kwa fisadi then the right to defend it is inevitable. wakeshe kulilinda.
mkuu 2000yrs. Never in this world udhalimu ukadumu milele. waache magamba wafanye udhalimu wao lkn siku ipo na mungu muweza wa yote anaijua sana. yataisha haya. nani alijua kuwa apartheid itakuwa ni historia afrika kusini?