Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,066
- 4,085
- Thread starter
- #21
Mngempeleka kituo cha polisi
bila shaka nilio waacha kwenye gari walimpeleka huko
Mngempeleka kituo cha polisi
wananifurahisha tu pale nilipoenda kureport tukio la wizi wakadai mpaka niwapelekee uthibitisho wa kuibiwa ndo wataandika report yangu. labda mnisaidie ndugu zangu utathibitisha vipi polisi kuwa umeibiwa?