Polisi kaniharibia siku yangu

wananifurahisha tu pale nilipoenda kureport tukio la wizi wakadai mpaka niwapelekee uthibitisho wa kuibiwa ndo wataandika report yangu. labda mnisaidie ndugu zangu utathibitisha vipi polisi kuwa umeibiwa?

hahahahahaha u have made my day
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom